Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Hongera kwa uandishi mzuri na yote uliyoyazungumzia humu ni sahihi.. nipo Morogoro na nainjoi haya maeneo.
Wapi SamakiSamaki😂😂
 
Morogoro ina asilimia ndogo za Ukimwi kama 5.5%, sisemi haupo bali upo. Ni wa 18 au 19 kimikoa Tanzania. Ukimwi kimikoa, 1. Njombe 16%, 2. Iringa 15, 3. Mbeya 14%, 4. Songea10%, 5. Sumbawanga 9%, 6. Kagera 9%, 7. Dsm 8%, 8. Pwani 8%, ............
 
Morogoro ina 6.5 asilimia za Ukimwi, sisemi haupo bali upo. Ni wa 18 au 19 kimikoa. Ukimwi kimikoa, 1. Njombe 16%, 2. Iringa 15%, 3. Mbeya 14%, 4. Songea10%, 5. Sumbawanga 9% 6. Kagera 9%, 7. Dsm 8%, 8. Pwani 8%, ............
 
Ukiona mpaka mimi kidume naishi moro, jua kuwa huu mkoa ni hatari.

1.Haliya hewa safi.
2.urahisi wa usafiri
3.masoko makubwa ya vyakula
4.Mbususu za kumwaga
5.ujenzi bei rahisi
6.viwanja bei rahisi.
7.ukarimu wa watu
8.hakuna msongamano wa watu


unafanya nini huku BUZURUGA,NANJILINJI

NJOO MORO

Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
Pia ndiyo mkoa pekee ambao watu wake wanadanganyika kirahsi mno, maji ni changamoto kubwa aeneo mengi ya mji, Kasanga, Lukobe, Lukuyu, Mkundi, Makunganya, Kihonda, Azimio, Kitungwa Tubuyu, Nanenane, n.k huko kote hakuna maji!

Ukipita maeneo ya mafiga, Chamwino, Mazimbu, Misufini, Kingo huko maji yanatoka kwa wiki haizidi mara tatu!

Ni eneo mji uliolala sana kisiasa, ni manispaa pekee ambayo mpaka leo pamoja changamoto zote hizo za maji na miundombinu mibovu ya Barabara ila mbunge wanayemjua ni mmoja tu, ABOOD!

Baraza la madiwani kwa miaka yote, limejaa CCM pekee, hii imerahisha ufujaji mkubwa wa pesa za walipa kodi kwa kujipigia wanavyotaka!

Wanachofurahia kutoka kwa mbunge wao ni Gari (bus) ya kuzikia wanapokufa, hapo wanakenua meno yote nje, na kuona ameajali sanaaa!

Kwa habari ya chakula nakubaliana na wewe kabisa, Morogoro ni pazuri...
Umezungumzia uhalisia mtoa Uzi amepamba Sana tunaopajua tumetulia ndoo ya maji buku Mkundi na kiyegea hadi Makunganya.
 
Nlikuwaga na kibanda njia ya kwenda kilosa hapo mvumi,njaa zangu nkauzaga....sahv lami imepita hapo
Najutaga sana
Lakini na pia napapenda sana ilonga msalabani kwa kuishi

Ova
 
Back
Top Bottom