Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Hongera kwa uandishi mzuri na yote uliyoyazungumzia humu ni sahihi.. nipo Morogoro na nainjoi haya maeneo.
Wapi SamakiSamaki😂😂
Wapi SamakiSamaki😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu chimbo lako nalijua.. ni SUA Main campus na Mazimbu.. Mademu wa MUM pia japo wanajifanya dinidini sana Ila nao wanalika tuNapapenda zaidi Morogoro kwa kuwa hata kupatikana kwa Mademu wa 'Kuwabandua' ni rahisi kuliko Mikoa mingine yote.
Morogoro ina asilimia ndogo za Ukimwi kama 5.5%, sisemi haupo bali upo. Ni wa 18 au 19 kimikoa Tanzania. Ukimwi kimikoa, 1. Njombe 16%, 2. Iringa 15, 3. Mbeya 14%, 4. Songea10%, 5. Sumbawanga 9%, 6. Kagera 9%, 7. Dsm 8%, 8. Pwani 8%, ............
Morogoro ina 6.5 asilimia za Ukimwi, sisemi haupo bali upo. Ni wa 18 au 19 kimikoa. Ukimwi kimikoa, 1. Njombe 16%, 2. Iringa 15%, 3. Mbeya 14%, 4. Songea10%, 5. Sumbawanga 9% 6. Kagera 9%, 7. Dsm 8%, 8. Pwani 8%, ............
Leo nipo pande za Misufini karibu kabisa na Hostels zao kuna Kitoto Kimoja kina 'Inye' sijawahi ona nataka kupita nae pia.Mkuu chimbo lako nalijua.. ni SUA Main campus na Mazimbu.. Mademu wa MUM pia japo wanajifanya dinidini sana Ila nao wanalika tu
Mzunguko wa pesa ni mdogo,
Kwa wafanyakazi ni sehemu sahihi ila kwa sisi wafanyabiashara it's a NO
Labda wewe sisi wengine tumefanukiwa kwa biashara hizo hizoMzunguko wa pesa ni mdogo,
Kwa wafanyakazi ni sehemu sahihi ila kwa sisi wafanyabiashara it's a NO
Maji Ni changamoto Karne had karneNaomba uongee na upande wa changamoto za huo mkoa.
Karibu mwanza.
#MaendeleoHayanaChama
Na kwa miaka hii watoto wetu mmeamua kuja kuishi kwa baba zenu.Watani zangu mko poa sana nilikaa hapo nilifurahia sana maisha hongereni sana kwa ukarimu
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Umezungumzia uhalisia mtoa Uzi amepamba Sana tunaopajua tumetulia ndoo ya maji buku Mkundi na kiyegea hadi Makunganya.Pia ndiyo mkoa pekee ambao watu wake wanadanganyika kirahsi mno, maji ni changamoto kubwa aeneo mengi ya mji, Kasanga, Lukobe, Lukuyu, Mkundi, Makunganya, Kihonda, Azimio, Kitungwa Tubuyu, Nanenane, n.k huko kote hakuna maji!
Ukipita maeneo ya mafiga, Chamwino, Mazimbu, Misufini, Kingo huko maji yanatoka kwa wiki haizidi mara tatu!
Ni eneo mji uliolala sana kisiasa, ni manispaa pekee ambayo mpaka leo pamoja changamoto zote hizo za maji na miundombinu mibovu ya Barabara ila mbunge wanayemjua ni mmoja tu, ABOOD!
Baraza la madiwani kwa miaka yote, limejaa CCM pekee, hii imerahisha ufujaji mkubwa wa pesa za walipa kodi kwa kujipigia wanavyotaka!
Wanachofurahia kutoka kwa mbunge wao ni Gari (bus) ya kuzikia wanapokufa, hapo wanakenua meno yote nje, na kuona ameajali sanaaa!
Kwa habari ya chakula nakubaliana na wewe kabisa, Morogoro ni pazuri...
BM nini maana hata pale Masika anapandisha gorofa..Tena huu ushindani unaoendelea wa kujenga maghorofa marefu itafika kipindi moro itakuwa balaa sana Kuna mjuba mmoja anataka kujenga jengo lenye ghorofa 20 bado yupo kwenye mazungumzo na serikali
Niko Wallet Pub, Kihonda, nasoma comments zenu hapa.. [emoji23]Hongera kwa uandishi mzuri na yote uliyoyazungumzia humu ni sahihi.. nipo Morogoro na nainjoi haya maeneo.
Wapi SamakiSamaki[emoji23][emoji23]
Niko Wallet Pub, Kihonda, nasoma comments zenu hapa.. [emoji23]Hongera kwa uandishi mzuri na yote uliyoyazungumzia humu ni sahihi.. nipo Morogoro na nainjoi haya maeneo.
Wapi SamakiSamaki[emoji23][emoji23]
Mimi nimeikabili kwa kununua SIMTANK ya lita elfu 5 kwisha habari yakeChangamoto ya mkoa wa morogoro Ni maji Ni tabu kuliko kitu chochote