Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

Naupenda huu mkoa pia ila una majanga yake fulani,

1. Una ajali za barabarani nyingi

2. Hukumbwa na mafuriko

3. Wananchi wake wamepooza mno, nahisi mwamko wa elimu uko chini

4. Mapigano ya wakulima na wafugaji

5. Uhaba wa maji.
Kweli umeeishi hapa
 
View attachment 2275601hii milima sijawahi kuichoka,Kila nikija Moro hua nashangaa upya na kua appreciate uumbaaji wa mungu..it's relaxing and the serenity in these mountain is breathtaking
Nikajua ni mimi peke yangu ndiyo mpenzi wa milima ya Moro
IMG20220628161317.jpg
IMG20220628161219.jpg
IMG20220620140108.jpg
IMG20220611132601.jpg
IMG_20220526_154135.jpg
IMG20220525152826.jpg
IMG20220507114345.jpg
IMG20220507114532.jpg
 

Attachments

  • IMG20220628161228.jpg
    IMG20220628161228.jpg
    97.2 KB · Views: 51
  • IMG20220518115724.jpg
    IMG20220518115724.jpg
    57.7 KB · Views: 47
Morogoro kilichoiponza na kuwa underated ni vile zamani wazawa walikuwa wanapiga vita wageni kuwekeza hapo ndio maana Shughuli nyingi za maendeleo zikasimama na mji ukawa wa hadhi ya kawaida tofauti na ilivyokuwa miaka ya 60 na 70 mpaka early 80 cha kuongezea kuhusu Morogoro
1.Ni moja ya mkoa wenye idadi kubwa ya Taasisi za elimu ya juu tena zile hot kwa mfano Tunajua SUA,MZUMBE,JORDAN UNIVERSITY,MUM UNIVERSITY vyote vipo Morogoro hapo bado hatujataja vyuo vya kati kama LITI na ST Francis
2.Kiburudani na michezo tunajua kwamba Moro is home for talents Diamond platinumz kazungukwa na mamaster mind ambao ni wenyeji wa Morogoro nao ni Salam na Babu Tale,hapo hatujataja wasanii wa sasa lakini zamani Morogoro kulikuwa na Diamond Platinumz wa enzi hizo nadhani wote tunamjua anaitwa Mbaraka Mwishehe pia nani ambaye haijui CUBAN MARIMBA? bendi hii pia ilikuwa na maskani Morogoro zamani ilikuwa watu weekend wanatoka dar wanaenda kuspend Morogoro tuje kwenye michezo kuna timu ilikuwa inaitwa Mseto ndio timu ya kwanza nje ya Dar es salaam kutwaa taji la ligi kuu Bara kabla ya baadae mtibwa kuja kufanya hivyo Kimsingi Mtibwa,Tukuyu stars(Mbeya) na Mseto ndio timu pekee kutoka nje ya mkoa wa Dar kutwaa kombe la ligi kuu,Morogoro ni nyumbani kwa Kina Charles Boniface Mkwassa(japokuwa kiasili si wa morogoro),Mohammed Msomali,Malota Soma hao ni wachezaji wa zamani sitowataja wachezaji wa sasa ambao wamejazana kwenye club za soka za ligi kuu bara
3.Viwanda,hapa Tanzania tuna viwanda visivyozidi vitano vya Sukari na fun fact nusu ya viwanda hivyo(viwili) Kilombero Sugar na Mtibwa sugar vipo Morogoro asante
ROBERT HERIEL
 
Comments za humu ni za watu wa Dar. Tuliosomea Moro tunajua shida za Maji na typhoid. Ukihamisha SUA na MZUMBE ujue umeiua Morogoro.
Nakubaliana nawe tena kwa 100% zote. Nami nasema ukihamisha SUA na Mzumbe Wapiga Punyeto tutafufuka.
 
Comments za humu ni za watu wa Dar. Tuliosomea Moro tunajua shida za Maji na typhoid. Ukihamisha SUA na MZUMBE ujue umeiua Morogoro.
Shida ya maji ni tatizo mtambuka Tanzania yote hata Dar mimi nimeishi mikoa yote miwili tangu udogo wangu lakini nikiri shida ya maji ya Morogoro ni afadhali ile ya Dar,tuulize sisi tuliokulia mitaa ya kuanzia Kimara Ubungo,Sinza,Tandale ilikuwa ni kawaida sana maji kukaa wiki mbili bila ya kutoka...watu wa maeneo ya Kivile,kitunda na Pugu hawajui maji ya bomba yanafananaje..incase you dont know maji yanayonyweka Dar ni ya mto Ruvu ambayo chanzo chake ni milima ya Uluguru Morogoro
 
Huku ni pazuri Kwa kustaafu, shughuli za kilimo na ufugaji sio tatizo. Ukiumwa Sio mbali na DSM kuwahi matibabu
Ukiumwa sio mbali na Dar???? wewe unaongelea morogoro mjini au?
Unajua kuwa morogoro ndio mkoa mrefu zaidi kwenda kusini kuliko yote
Namaanisha Unaweza kusafiri kuelekea kusini masaa 12+ ndani ya mkoa, huo ukaribu ni upi?
Na pia mjini Moro; Joto kama dar au Zaidi nimelala pale mara kadhaa; ila ukianzia kilombero kwenda Kusini ndio hali nzuri ya hewa na mito
Japo Kiujumla ni mkoa mzuri
 
Ukiumwa sio mbali na Dar???? wewe unaongelea morogoro mjini au?
Unajua kuwa morogoro ndio mkoa mrefu zaidi kwenda kusini kuliko yote
Namaanisha Unaweza kusafiri kuelekea kusini masaa 12+ ndani ya mkoa, huo ukaribu ni upi?
Na pia mjini Moro; Joto kama dar au Zaidi nimelala pale mara kadhaa; ila ukianzia kilombero kwenda Kusini ndio hali nzuri ya hewa na mito
Japo Kiujumla ni mkoa mzuri
Hajasema kusini lakin.. masaa 3 tu dar ushafika
 
Comments za humu ni za watu wa Dar. Tuliosomea Moro tunajua shida za Maji na typhoid. Ukihamisha SUA na MZUMBE ujue umeiua Morogoro.
Hivyo vyuo vipo pembeni ya mji kabisa hata wanafunzi wamepanga huko ni ngumu kuwaona kati kati ya mji
 
Back
Top Bottom