Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

-hujui Sheria ya ndoa, Ugoni adhabu yake ni Fidia, haina haja ya kufika huko, labda tabia ya Ugoni iwe ni repetitive despite protest
 
-huwezi kuoa wakati ndoa nyingine Ina subsist, na wakati ndoa Yako ni ya MKE mmoja
(Kama linaloitwa fumanizi) limetokea nyumbani Kwa huyo bank teller angewahi kufungua shtaka mahakamani la uvamizi (trespassing) dhidi ya anayedaiwa kuwa MKE wa Profesa Manyaunyau. Kesi miaka 8
 
Alternatively, Bank teller alipaswa kuona divorce papers kabla ya kuchanua miguu, mbona ku-withdraw pesa counter hawakupi pesa yako mpaka waone kitambulisho Tena cha NIDDA
Hayo Mambo Muda Haupo Walifanya Mapenzi Mpaka Mahaba
Mwenye Kupenda Haoni Chongo Ataita Kengeza

Kwako Professor Mnara Tunaujenga Wapi
Rais Mteue Huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…