..Chadema kuna uhuru wa maoni, na mawazo.
..Ccm mnasubiri atakachosema Mwenyekiti hata kama hakina mantiki mnaunga mkono.
Lissu anapenda "siasa za uasi".....
Kwa baadhi ya watu anaonekana ni mtengenezaji lakini ni kinyume chake.......
#SiempreJMT[emoji120]
Unaweza kutuletea ushahidi wa maridhiano kufikiwa ?
Mpunbafu kabisa weweMpuuzi sana Lisu sasa anataka wafufuliwe ndio wapatanishwe, hapa anataka alipwe tu akimbie tena zikiisha aje na jipya , huyu dawa yake ilikuwa ile ile tu
USSR
Sasa ikiwa vikao vya maridhiano vinaendelea na mnapeleka viongozi wenu akiwemo mbowe mkuu wa chama ,Basi lisu haya Mambo ya maridhiano inaonekana hajui chochote ,na Kama anajua Basi hakubaliani nayo,na Kama hakubaliani nayo Basi lisu na mbowe hawako pamoja Tena kuhusu agenda ya maridhiano.Tatizo la lisu ni mlopokaji na Hana kifua Kama mbowe ,yaani badala ya kumwambia mwenyekiti wake na chama chake kuwa hataki maridhiano ,anatoka nje kupayuka .Mbowe unaye muuliza hapa kafanya nini , ikiwa vikao vya maridhiano vinaendelea ? nilikupuuza kule mwanzo lakini naona unazidi kupayuka , kwanza maridhiano hayajaisha na wala maridhiano hayazuii chadema kusema mambo yake , halafu kwenye maridhiano Chadema imepeleka timu ya watu wengi , si Mbowe pekee , kwanini unadhani Mbowe anaweza kukipinga chama chake ?
Lisu ni mnafiki,si akiambie chama chake hataki upatanishi, au kaamua kuwafikishia ujumbe chadema huku nje baada ya kuona vikao vya ndani hawamuelewiLissu anadai Arusha ndio mkoa unaoongoza kwa Mabango ya uongo yaliyopachikwa upatanishi , huku sisi wengine tukidhani lengo lao ni kudanganya watalii ili waone nchi sasa iko shwari.
Mkuu hujafa hujaumbika,Yanaweza kukukuta makubwa zaidi ya LissuHuyu wamemtengua kiuno amekuwa kama wewe wanawake nyie
USSR
[emoji2956]Alafu Lissu au Chadema hana sera kabisaaaaaaa, nikisema sana, Chadema wanakosa sera, hili ni tatizo, wao sera yao ni ku attack watu au CCM au kusema matatizo yao binafsi wakidhania ni sera
Pumbavu shetani mkubwa!!Mpuuzi sana Lisu sasa anataka wafufuliwe ndio wapatanishwe, hapa anataka alipwe tu akimbie tena zikiisha aje na jipya , huyu dawa yake ilikuwa ile ile tu
USSR
Kama mna uhuru wa maoni, mawazo Chadema, toeni mawazo kwanza Mwenyekiti wetu apishe wengine, sbb kakaa miaka mingi sana, alafu uone mtakavyo fukuzwa kama mbwa, CHADEMA ndio hakuna uhuru kabisa, hata matumizi ya ruzuku hakuna anayejua, except Mwenyekiti.
Hawa mbayuwayu hawajui hata wanapinga nini na wanaunga mkono nini?A confused bunch of morons.Masuala ya kuzuia kuhoji hata sijayazungumza mie, nilichosema ni kwamba Lissu anaonekana hana imani na hayo maridhiano tofauti na wengine kama Mbowe ambaye anaonyesha ana imani na haya maridhiano.
Ndoto za Ali Nacha za kungojea merikebu Airport.Chadema wakishika dola, Erythrocyte lazima apewe hata uwaziri wa kilimo na mifugo
Pambaneni wenyewe raia mpate katiba mnayoitaka kama hamna imani na wanasiasa.Sipendi unafiki Mimi ,wananchi hatuna mtetezi kwa Sasa ,watawala wanatufanya wananchi vile wanavyojisikia.
Upinzani haueleweki ama hawajui waseme nini kuhusu wananchi au Asali inafanya kazi yake.Nchi imeoza Sana hii.
Katiba Mpya ije tu.
Mjinga wewe kwani kuwa mwanamke ni kosa? Wambie wanaokutuma ueneze chuki wewe hutoshi kwasababu Huna akiliHuyu wamemtengua kiuno amekuwa kama wewe wanawake nyie
USSR
HayaWananchi wameshaanza kuwakacha mahudhurio kwenye mikutano ni hafifu Sana.
Kwisha kabisa cdm laana inawatafunaje!!!!!Kama mkutano wa mtu 'kivutio' wa chama nyomi inakuwa ya hivi, hakyanani chadema kwishiney!
Msijidanganye hakuna nchi duniani iliyojikomboa duniani Kwa njia ya makaratasi bila damu kumwagika Nyerere siyo kwamba naye alipigania uhuru kutoka Kwa wakoloni bali aliuomba Sasa kama unaelewa ukiomba msaada Kwa mtu yeyote akakusaidia ujue nyuma ya pazia Kuna masharti yake inabidi uyafuate Kwa hayo maridhiano mliyoaminishwa nyuma ya pazia kuwa ni ya kutukomboa watanzania ni upumbavu mtupu ndo maana mpaka Sasa mwananchi hujaambiwa cdm na CCM walilidhiana Nini kupitia boss wao ambaye ni SSH hayo ni maridhiano Yao Kwa faida Yao wenyewe sisi wananchi tusipopambania haki zetu wenyewe tusitegemee wanasiasa uchwara wa nchi hii ambao wako kimaslahi zaidi watatumbania #thinkbig!!!!Tulishaandika mara kadhaa humu JF, kitu pekee kilichobadilika ni "mtindo (style)" tu ya uongozi.
Badala ya vurugu nyingi, makelele na kuumiza watu moja kwa moja, sasa kinachofanyika ni kutumia lugha laini tu, ya kupoza na kusahaulisha, huku malengo yakiwa ni yale yale ya tokea mwanzo.
Tena matokeo ya hii lainisha yatakuwa ni mabaya zaidi, kwa sababu hata baadhi ya wapambanaji watachanganyikiwa akili na kuachana na mapambano ya kuikomboa Tanzania toka kwa mkoloni huyu CCM.