Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Hadi tutakapoamua kuukubali ukweli!!
Chanzo kukubwa cha ajali za Tanzania ni ubovu wa miundombinu na si mwendokasi kama tunavyoaminishwa na mamlaka za juu.
Head on collisions hata tupunguze speed limit iwe 40km/h bado kuna sehemu korofi zitasumbua
Highway ni vichochoro alafu zina mashimo na rasta hapo lazima zikutane uso kwa uso tu.
 
Dereva wa Lori ndio chanzo kumbe.
Kamanda wa polisi ndo kadai hivyo, alihama ku overtake bodaboda..........unaendesha lori utadhani unaendesha crown, kwamba ku overtake linakuwa ni jambo rahisi tu.
 
Hadi tutakapoamua kuukubali ukweli!!
Chanzo kukubwa cha ajali za Tanzania ni ubovu wa miundombinu na si mwendokasi kama tunavyoaminishwa na mamlaka za juu.
Head on collisions hata tupunguze speed limit iwe 40km/h bado kuna sehemu korofi zitasumbua
Sio tuu speed,ni upuuzi kuendesha kwenye barabara single carriage on opposite lanes.

Tuanze kujenga dual carriage roads
 
Kamanda wa polisi ndo kadai hivyo, alihama ku overtake bodaboda..........unaendesha lori utadhani unaendesha crown, kwamba ku overtake linakuwa ni jambo rahisi tu.
That boils down to miundombinu ya barabara ambalo ni jukumu haswa la Tanroad
Unaporuhusu bajaji bodaboda and the likes zitumie njia moja katika safari zake , clearly usalama unakua sio kipaumbele chako.
 
Wenye mikataba na kizimu wameshika madaraka ,kafara za ajali Tena zimeanza...
Tulisha sahau hzi Mambo.
Ajali za barabarani hazijawahi kupungua , sema kuna kipindi media zilifumbwa mdomo .
 
pengine hapo una mipango kibao ila yote imepelea hewani ndani ya sekunde tu

mlale salama
 
So sad news. Why is this happening? My sincere condolences.
 
Aisee...kweli hakuna ajuae kesho....marehemu walikuwa na mipango mingi sana,sasa imekuwa ndoto
Hakuna kabisa ajuaye kesho. Hata wahanga wa iyo ajali walikuwa wanasoma na kuona ajali zingine zikitokea kama sisi humu hawakujua maskini hata wao watakumbwa. As long as tunaumia vyombo vya moto tujue tu hata sisi ni watarajiwa tu. Piga picha kwa familia zao na wapendwa wao sasa hivi wanavyopitia wakati mgumu. Na waliojeruhiwa maumivu wanavyopitia. Mungu hatusaidie tu kuepukana viburi vya afya na uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…