Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Morogoro: Watu 22 Wamefariki dunia kwenye ajali ya Basi la Ahmed linalofanya safari kati ya Tanga-Mbeya. Limegongana na Lori

Umewahi endesha kipande cha chalinze mlandizi?
Kuna wakati nilipita ile barabara kifo kiko mbele maana kuna sehemu zimekatwa, ili kutetea tairi isipasuke unaweza hama muda wowote.... Mara vuuup mende za kokoto kutoka Msata hii hapa huponi labda uingie vichakani
 
Tuangalie sheria za kuwadhibiti hawa wapumbavu watatumaliza.

Mengine ni ubishi tu yaani nani mtemi barabarani...ni ushenzi tu wa hawa madereva.

Pia wapimwe IQ, ulevi kwenye damu nk.
Usikariri kila ajari huhusisha high speed
 
Hii Ahmeed (basi) alinunua kwa Kisbo,kwa wale wanaojua enzi za Kisbo nadhani ni mashuhuda,lakini pia hili basi ni mara nyingi sana amekua akichochora(japo ilikua haiui)...wanakimbia sana,pamoja na uzembe wa mwenye roli lakini hawa Ahmeed ilikua ni suala la muda tu.
 
Ahmed linaenda jamn. Imagine saa kumi liko morogoro akati lenzake mbeya city linaingia moro kwenye kumi na moja ivi. Naumia sana koz mbeya to tanga ndo trip zangu, na ahmed ndo gari langu
 
Ahmed linaenda jamn. Imagine saa kumi liko morogoro akati lenzake mbeya city linaingia moro kwenye kumi na moja ivi. Naumia sana koz mbeya to tanga ndo trip zangu, na ahmed ndo gari langu
Kuwa Mbeya saa 10 wala siyo issue kubwa na haiwezi kuwa sababu ya ajali. Hata Mimi hiyo ndo gari niliyokuwa natumia Mbeya - Tanga. Lakini Mara nyingi ni Kwa safari za Mbeya - Dar natumia AMAN ambalo linafika Morogoro saa 9 mchana.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kuwa Mbeya saa 10 wala siyo issue kubwa na haiwezi kuwa sababu ya ajali. Hata Mimi hiyo ndo gari niliyokuwa natumia Mbeya - Tanga. Lakini Mara nyingi ni Kwa safari za Mbeya - Dar natumia AMAN ambalo linafika Morogoro saa 9 mchana.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu
 
Hakuna kabisa ajuaye kesho. Hata wahanga wa iyo ajali walikuwa wanasoma na kuona ajali zingine zikitokea kama sisi humu hawakujua maskini hata wao watakumbwa. As long as tunaumia vyombo vya moto tujue tu hata sisi ni watarajiwa tu. Piga picha kwa familia zao na wapendwa wao sasa hivi wanavyopitia wakati mgumu. Na waliojeruhiwa maumivu wanavyopitia. Mungu hatusaidie tu kuepukana viburi vya afya na uzima
...fikiria kwamba jana yake usiku kuna alimpigia simu mumewe/mkewe kwamba anakuja kesho yake...lakin Leo ni Maiti! Inasikitisha sana...
 
Mkuu iyo Ahmed ATH waiita ndege ya chini inatembea balaa, kutoka mbeya hua ata kina sauli na newawaoni kitu na inavyotoka tanga hua inazipita hadi bus nyingne za kutoka dar! Iyi impact apo inaonyesha kati ya bus au iyo lorry IT moja wapo ilikua speed kali Sana au zote zilikua mafuta
Lakini wanasema chanzo cha ajali on dereva wa Lori kutaka kuikwepa Bajaj?
 
Tuangalie sheria za kuwadhibiti hawa wapumbavu watatumaliza.

Mengine ni ubishi tu yaani nani mtemi barabarani...ni ushenzi tu wa hawa madereva.

Pia wapimwe IQ, ulevi kwenye damu nk.
Hakuna cha sheria, attitude ya Watanzania ni mbaya sana,akijitokeza mtu kumwambia dereva yuko speed apunguze watu wanaguna na wanamgeukia kumuona ni adui.

Pili tuliambiwa kuna vidhiniti mwendo vyenye alarm sijui vimeishia wapi na mwisho kulikuwa na namba za maofisa wakuu wa polisi kila bus lakini saizi sizioni.
 
Hii barabara inahitaji umakini. Reckless driving ipo juu sana hasa mabasi.
Sio tuu umakini,Tzn hii tuna viongozi wajinga Sana wanathamini pesa kuliko gharama.

Hiyo ndio barabara kuu Tzn yenye traffick kubwa lakini cha ajabu ni single carriage,we drive on opposite direction.

Serikali iache upuuzi, barabara hiyo yote kutoka Dar hadi Tunduma ijengwe kwa dual carriage with multiple lanes kutegemea maeneo.
 
First thing first barabarani ndo life line yangu , nime invest huko na maisha yangu kwa asilimia kubwa yapo huko, naelewa vizuri majanga ya huko
Hunitiishi ukisema nitafia barabarani , thats is purely my destiny an i know the risks involved .

T1 ndio barabara busy kuliko zote , na do barabara yenye matukio mengi, kwa wiki hii tu T1 ina matukio mawili ya ajali za basi na zote ni fatal,

Endelea kupiga siasa kwenye mambo technical , barabara hii kwa sasa inatakiwa dual carriageways kwenye sehemu korofi
Yote ifanyiwe dualing.
 
Tusiweke maneno Wala mbwembwe nyingi kichwa Cha Habari chajieEza , magari Sasa kutoka dar kwenda dodoma yanatumia masaa 6.5 tofauti na magufuli masaa 8, ukiweka na factor ya foleni.

Okay nchi imefunguliwa
...Ukute hapo madereva wote wawili walikuwa wangu wangu ndio maana wakashindwa hata kujiokoa na kuwaokoa wengine kwa hata kupeleka gari porini!
 
Back
Top Bottom