Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafikiri hapa umekaza mno mkuu🙃Namlaani aliyeenda kuomba uhuru wa hii nchi
SawaPicha ya moto ukimuua Mzee tafadhali
Ni laanaMwafrika ni mtu wa hovyo sana!
Tanzania jambo moja linaloweza kufanyika kwa ufanisi na ukamilifu ni moja tu nalo ni Uchaguzi.Kikosi cha Zimamoto mkoani Morogoro leo kimeenda kuzima moto kwa ndoo na mikono ikielezwa gari zao zote ni mbovu. Moto huo umeua mzee mmoja aliyeshindwa kujiokoa...
Sio mwafrika sema serikali ya ccmMwafrika ni mtu wa hovyo sana!
Wazungu wakiwambia mnasema wanawatukanaNamlaani aliyeenda kuomba uhuru wa hii nchi
Wangeambiwa magari ya Washa washa kuzima maandamano ya Dp world ndio ungeona kuwa wako very EquipedKikosi cha Zimamoto mkoani Morogoro leo kimeenda kuzima moto kwa ndoo na mikono ikielezwa gari zao zote ni mbovu. Moto huo umeua mzee mmoja aliyeshindwa kujiokoa.
Ikumbukwe, pesa za kina Profesa Zembelwa, Dk Kitenge na Mwanasheria nguli wa sheria za MIKATABA ndugu Hando zipo ila za kuwezesha jeshi la zimamoto hakuna.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Credit: ITV
Hat waarabu hawawatakiZimamoto tuwakabidhi Waarabu au mnasemaje?
Kwa miguu.Naskia wameenda na bodaboda
Hii kali. Ila naskia moto umetokea jirani kabisa na fire. Wangebeba madumu ya maji angalauKwa miguu.
Kwa nini?Mi nimekomea hapo kwenye jina lako mtoa mada!
Mwazo ulipo ingia jf nilikuwa nakuona bro mkubwa sana ila una nongwa sana sasa unajuaje kama serikali haijatoa hela ya kufanya matengenezo?Option ya ku ignore habari za anaye kukera ipo pia hapa jf. Kwa hiyo Mwachiluwi uamuzi ni wako ima uendelee kukereka na mimi ama uni ignore ili usiendelee kukereka nami.
Hapo sio kwa bodaboda ni kwa miguu yaani ni karibu kabisa nyumba wanaiona wakiwa ofisini kwao. Na Cha ajabu nyumba yote imeteketeaNaskia wameenda na bodaboda
Nipo jf tokea 2009, sifahamu ulikuwa wapi enzi hizo! Ama upya wa ID unakufanya ujione mkongwe kuliko mimi?!Mwazo ulipo ingia jf nilikuwa nakuona bro mkubwa sana ila una nongwa sana sasa unajuaje kama serikali haijatoa hela ya kufanya matengenezo?
Kuna basi liliwaka moto pale Stop Over Zimamoto wakapigiwa simu wakaja all the way kutoka Fire/Jangwani Sec tena kwa ving'ora halafu gari halina maji, eti wamekuja kuangalia ukubwa wa moto ile gari ilipasuliwa na mawe wasingekuwepo FFU wangelichoma moto gari la zimamotoKikosi cha Zimamoto mkoani Morogoro leo kimeenda kuzima moto kwa ndoo na mikono ikielezwa gari zao zote ni mbovu. Moto huo umeua mzee mmoja aliyeshindwa kujiokoa.
Ikumbukwe, pesa za kina Profesa Zembelwa, Dk Kitenge na Mwanasheria nguli wa sheria za MIKATABA ndugu Hando zipo ila za kuwezesha jeshi la zimamoto litimize majukumu yake bila vikwazo-hakuna.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Credit: ITV
Kazi iendelee😅Hapo sio kwa bodaboda ni kwa miguu yaani ni karibu kabisa nyumba wanaiona wakiwa ofisini kwao. Na Cha ajabu nyumba yote imeteketea