Morogoro: Zima moto waenda kuzima moto kwa mikono gari zote mbovu

Morogoro: Zima moto waenda kuzima moto kwa mikono gari zote mbovu

Kuna basi liliwaka moto pale Stop Over Zimamoto wakapigiwa simu wakaja all the way kutoka Fire/Jangwani Sec tena kwa ving'ora halafu gari halina maji, eti wamekuja kuangalia ukubwa wa moto ile gari ilipasuliwa na mawe wasingekuwepo FFU wangelichoma moto gari la zimamoto
Haha ukubwa wa moto?
 
Nipo jf tokea 2009, sifahamu ulikuwa wapi enzi hizo! Ama upya wa ID unakufanya ujione mkongwe kuliko mimi?!

Siyo kila unachokiona ndivyo kilivyo. ZINGATIA!
Ilo najua kuwa wew mkongwe ila hii I'd unatumia baada ya sakata la bandari kuanz
 
Ilo najua kuwa wew mkongwe ila hii I'd unatumia baada ya sakata la bandari kuanz
Kuwa makini, siyo kila mbu ni inzi.

Kwa faida yako, ukiona habari isiyokupendeza ni wajibu wako kuleta itakayo kupendeza. Tusipangiane cha kuandika.
 
Moto unawaka kwenye nyumba iliyo umbali usiozidi mita 80 kutoka ofisi kuu ya zimamoto.

Zimamoto wanapata taarifa kwa wakati, wanaenda na ndoo za maji kuzima moto gari mbovu.

Ndani ya nyumba kulikuwa na mzee mgonjwa alishindwa kujiokoa akafa.

Namlaani aliyeenda kuomba uhuru wa hii nchi!
Mwarabu apewee tu hakuna namna inabidi iwee hivyo!!!
 
Kwa kweli nyerere alitukosea saaana.alipigania Uhuru badala ya kutuweka huru akatuweka mateka hadi sasa tunateseka.
 
Kwa jinsi dunia ilivyo badilika natamani hilo jeshi la zimamoto na uokoaji nipewe niliongoze ndani ya miaka michache tu nianze kwa kubadili muundo mzima wa jeshi hisika na upatikanaji wa vifaa vinavyoendana na teknolojia ya sasa ya uzimajji wa moto na kuifanya kuwa taasisi imara na kauli mbiu yetu ni “mali yako uhai wako ni dhamana kwetu “
 
Back
Top Bottom