Morogoro: Zima moto waenda kuzima moto kwa mikono gari zote mbovu

Haha ukubwa wa moto?
 
Nipo jf tokea 2009, sifahamu ulikuwa wapi enzi hizo! Ama upya wa ID unakufanya ujione mkongwe kuliko mimi?!

Siyo kila unachokiona ndivyo kilivyo. ZINGATIA!
Ilo najua kuwa wew mkongwe ila hii I'd unatumia baada ya sakata la bandari kuanz
 
Ilo najua kuwa wew mkongwe ila hii I'd unatumia baada ya sakata la bandari kuanz
Kuwa makini, siyo kila mbu ni inzi.

Kwa faida yako, ukiona habari isiyokupendeza ni wajibu wako kuleta itakayo kupendeza. Tusipangiane cha kuandika.
 
Mwarabu apewee tu hakuna namna inabidi iwee hivyo!!!
 
Kwa kweli nyerere alitukosea saaana.alipigania Uhuru badala ya kutuweka huru akatuweka mateka hadi sasa tunateseka.
 
Kwa kweli nyerere alitukosea saaana.alipigania Uhuru badala ya kutuweka huru akatuweka mateka hadi sasa tunateseka.
Aiwee nimecheka kama mazuri vile [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa jinsi dunia ilivyo badilika natamani hilo jeshi la zimamoto na uokoaji nipewe niliongoze ndani ya miaka michache tu nianze kwa kubadili muundo mzima wa jeshi hisika na upatikanaji wa vifaa vinavyoendana na teknolojia ya sasa ya uzimajji wa moto na kuifanya kuwa taasisi imara na kauli mbiu yetu ni “mali yako uhai wako ni dhamana kwetu “
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…