samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Kuna jambo laja la kishindo,huwezi pokea fedha huku na kule ,tusubirini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba amesainiMorrison hakuchukua hiyo pesa, GSM ndio waliomuwekea Morrison hiyo pesa kwenye acc yake baada ya kujua anaweza kwenda Simba ili wamshawishi asaini mkataba wa miaka miwili, matokeo yake Morrison akazikataa hizo pesa, na mkataba wao hakusaini.
Unaendaje CAS wakati hata FIFA hamjaenda msiropoke ka manyaniHuyo Hanspope siniyule mhaini?sasa tunakwenda cas. Tff wataumbuka,kama mbwai na iwe mbwai. Wamemwaga ugali sisi tunamwaga mboga!
Hizo hela zaidi ya mil.69 alizokiri kuchukua zilikuwa za nini? Unachukua mahari ya mtu halafu kesho unasema sitaki kuolewa halafu wakuache tu?Kamati haijafanya vizuri kwa sababu hapa kuna kesi ya kufoji mkataba ,ambapo Morrison anadai Yanga wamefoji mkataba hivi hawakuandikishana mkataba na Yanga ,sasa huyu dogo anakosa gani?
Usiwe na akili ya kushikiwa ,ile si kishika uchumba ,hakukuwa na makubaliano kusaini mkataba ,yanga walichofanya ni kumwekea hela kwenye account bila ridhaa yake ili ashawishike huku wakijitapa wamemsainishaHizo hela zaidi ya mil.69 alizokiri kuchukua zilikuwa za nini? Unachukua mahari ya mtu halafu kesho unasema sitaki kuolewa halafu wakuache tu?
Morrison ndiye aliyewapeleka Yanga kwa Pilato Mwanjala.Aliyefungua hii kesi ni yanga au morisson
Sasa Morrison ni mchezaji halali wa Manguruwe fcManyani fc kwisha habari yaooo
Kuna njama za wazi kabisa kuwa Kamati ya TFF na maamuzi yake kumhusu Moris, inapanga kuibeba Simba. Hujuma kama hizi dhidi ya baadhi ya vilabu zinaua mpira hivyo ni vema serikali iingilie kati. Halafu nadhani pia Rais wa TFF achunguzwe vizuri malengo yake katika soka letu, simwelewi elewi!
Morison afungiwe, amesain mkataba na timu mbili, yanga lazima tumkomeshe, hatacheza mechi hata moja hapa tanzania
Hapa ndiyo TFF imeuweka uchi uozo wao, sasa wanapitishaje mikataba void! hawana mwanasheria pale!
Unaendaje CAS wakati hata FIFA hamjaenda msiropoke ka manyani
Wewe unataka aweje, hiyo laana inasababishwa na nini, kwani soka ni ibada au ni burudani tu.Morison hana shida yoyote mambo mengine ni hali tu yakibinadamu sisi tunachotaka toka kwake ni mpira.Tatizo la haya yote ni mambo yetu yakibabaishaji yaliyoko nchi hii kuanzia vilabu hadi Tff kwenyewe.Hii ni habari nzuri kwa washabiki wajinga wa Simba. Mimi kama shabiki imara wa Simba sishabikii Morrison kuja Simba. Morrison ni LAANA kwa viongozi wote wa Simba waliomleta kwenye Klabu yetu.
Haeleweki nini?.Wabongo tuache ubabaishaji, mambo mengine tunafanya kishabiki kisha mtu akitaka mambo yawe wazi tunamwona mkorofi.Huyu mtu haeleweki kabisa hastahili kuwepo kwenye soka letu japo pia club kubwa Kama Yanga inajiharibia kwa kufanya janja janja za namna hii.
Hiyo Manguruwe imetoka wapi?Sasa Morrison ni mchezaji halali wa Manguruwe fc