Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Maswali hayo ya Pesa utauliza wewe tu lakini Viongozi wa Yanga wanashukuru kurudishiwa Pesa zao bila ya kuuliza swali lolote kwasababu wanaijua TAKUKURU balaa lake.

Kama hujui na ulikuwa hufuatilii hili sakata basi hizo USD 30K alipewa Morrison kama Advance kwa ajili ya kusaini Mkataba mpya ambao baada ya Simba kumpa zaidi akagoma kuongeza Mkataba mpya na Yanga wakaona isiwe Shida bora wamsainie tu ili mambo yaishe.
Kiufupi hizo hela ni Hongo/Rushwa ndiyomana Viongozi wa Yanga hawatozihoji bali watazipokea tu wakirudishiwa.

Kuhusu Kupelekwa Kamati ya Maadili TFF walishafafanua nadhani hujafatilia. Sababu ni Kwamba 'Amesaini Mkataba na Simba huku akijua Kuwa Shauri lake lipo Mezani na kuzusha taharuki kinyume na Kanuni za TFF'.
Lakini Utopolo hamufuatilii mambo hatimae munaishia kuishi kwa Mabishano tu.
umeeleza vizuri ko una kili huyu jamaa ni tapeli
 
Huyo Hans pope umafia hajaanza Leo.
Kwenye game kitambo.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hii ni habari nzuri kwa washabiki wajinga wa Simba. Mimi kama shabiki imara wa Simba sishabikii Morrison kuja Simba. Morrison ni LAANA kwa viongozi wote wa Simba waliomleta kwenye Klabu yetu.

Kaanzishe Timu yako isiyokuwa na Morrison
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mwanjala anyooshe kauli,sio tunampa faida Morrison mkataba una mapungufu,aseme VYURA WAMEGUSHI MKATABA MORRISON KASHINDA KESI,hapo anajribu kuikwepesha yanga na adhabu ya utapeli wa kughushi nyarakaaaaa
 
TFF inajulikana ni tawi la simba, Simba wamekuwa mabingwa kwa kubebwa na marefa, haya maamuzi yalitegemewa ili kuibeba simba, ligi ya tanzania ya kipuuzi sana
 
Mwanjala anyooshe kauli,sio tunampa faida Morrison mkataba una mapungufu,aseme VYURA WAMEGUSHI MKATABA MORRISON KASHINDA KESI,hapo anajribu kuikwepesha yanga na adhabu ya utapeli wa kughushi nyarakaaaaa
Takukuru ngoja tuwasikie nao
Ni uwalakini upi hauo? Baada ya kukuta walakini wamechukuliwa hatua gani za kisheria?
I wonder.. hajasema! Kachukulia poa sana yanga kuwa na mkataba wenye walakini. Yaani kama it's ok...
 
RAIS WA TFF na kamati zake zote ni wanachama wa simba, Yanga haiwezi kutendewa haki hata siku moja
 
RAIS WA TFF na kamati zake zote ni wanachama wa simba, Yanga haiwezi kutendewa haki hata siku moja
Lini mumewai kushinda kesi mkuu. Kwenye mambo ya uweledi wa sheria simba wamewaacha mbali
 
  • Thanks
Reactions: Tui
20200812_200710.jpg
 
Polen na majukum wadau

Leo Tff wametoa Maamuzi juu ya mchezaji Morison kua yupo Huru mkataba wake na Yanga ulikua na Mapungufu

Lakin swali ambalo Bado ninalo kichwan apa ni kwanin Morison Anatakiwa Arudishe hela za Yanga alizo kwisha kuchukua swali ni kwanin Morison Anatakiwa Alipe pesa

Na ili wezekana vip achukue PESA Bila ku sign?

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
kwa kifupi aliwekewa kimakosa/ bila ridhaa yake kwenye account yake..
lakini pia kama mkataba ulikuwa batili kisheria.. kuuvunja ni kurudisha gharama zote
IMG-20200812-WA0049.jpg
 
TFF inajulikana ni tawi la simba, Simba wamekuwa mabingwa kwa kubebwa na marefa, haya maamuzi yalitegemewa ili kuibeba simba, ligi ya tanzania ya kipuuzi sana

Vyura sijui mutakuwa na akili lini? Kwahiyo ulitakaje kwa Mfano?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Huu mgogoro wa Morrison umetuletea tetemeko jamaa hafai achunguzwe
 
Back
Top Bottom