Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Ilikuwa ni muhimu kumrifaa kwenye hiyo Kamati nyingine japokuwa hakuna kesi ya msingi.
“Eti kwanini asaini Simba wakati kuna kesi yake?! Si anasema tu “nimesaini kwasababu sikuwa mkataba na kilichofanyika ni kufoji. Na bahati nzuri kamati yako imelithibitisha hilo.”
Hapo hakuna kesi bosi. Watu wameamua kujitoa kiaina.

Kupelekwa kwenye kamati nyingine wakati kesi ya msingi ni Forgery hiyo ni kutafuta mlango wa kutokea kwa hao viongozi wa TFF na Yanga walofanya makosa ya wazi, kijana hana kesi yoyote ya jinai ila wanataka awe "Bangusilo" au mbuzi wa kafara tu lakini ngoja tuone Takukuru na Police watasemaje kwa wale wote waliogushi mkataba
 
Time will tell hata Simba Morrison atakuja kuwasumbua sana.
Huyu mtu haeleweki kabisa hastahili kuwepo kwenye soka letu japo pia club kubwa Kama Yanga inajiharibia kwa kufanya janja janja za namna hii.
 
Uamuzi wa KIJINGA kama huu haujawahi kushuhudiwa katika zama za soka la kisasa.

Iweje TFF imruhusu Morrison achezee Yanga wakati mkataba wake ukiwa na 'walakini" kama wanavyojichanganya kamati ya TFF. Wakati FIFA inatumia teknolojia ya kisasa (VAR) kuhakiki kama goli lililofungwa ni halali ama laa, Wajinga wa TFF wanadai hawatambui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Lakini kilichowazi ni uthibitisho wa WAZI kuwa TFF ya sasa ni mawakala wa SSC, wapo pale si kwa kuendeleza soka la Tanzania, bali kuwabeba na kuwatumikia Simba....Shame on You!!!

Ivi unajua huyo mwenyekiti wa hiyo Kamati/Bodi iliyotoa Maamuzi ni Mwanachama wa Utopolo?

Baada ya kuishukuru TFF kuwaachia Morrison kuichezea Yanga kupitia Mkataba Feki, unaishia kutoa Povu!
Hapo ndiyo ujue TFF inatabia ya kuwaachia Yanga kuchezesha wachezaji wenye Mikataba Feki! Leo mumeumbuka Minyani 😂😂
 
Kwa nini ujidai wewe simba wakati nakujua ni yanga mwenzangu?acha unafiki wa kijinga.sisi yanga pia tulikuwa tunamtaka sana tu.ndo maana tukafanya uhuni wa kijinga

Hii ni habari nzuri kwa washabiki wajinga wa Simba. Mimi kama shabiki imara wa Simba sishabikii Morrison kuja Simba. Morrison ni LAANA kwa viongozi wote wa Simba waliomleta kwenye Klabu yetu.
 
uwezo wako ni mdogo mno mwenyekiti kuwa yanga ili hali wajumbe 2/3 ni nyau unahisi mwenyekiti anatoa maamuzi yake binafsi. kumbe nawwe umeme mdodo kwa kichwa

kama morrisoni haku saini mkataba iyo pesa alichukua ya nini na anapelekwa kamatini tena kwa kosa gani?

Maswali hayo kawaulize Viongozi wako wa Yanga kuwa "Kama Morrison alisaini Mkataba kwanini wameshindwa kuuwasilisha TFF ndani ya siku zote 3 za Kikao na badala yake wamepeleka Mkataba uliochanwa Signature?"

Sasa maswali ya Yanga unawauliza Simba ili iweje? Kamtafuteni aliyechana signature ya Morrison kwenye Mkataba Wenu.
 
Hahahaa

SIMBA: oya nyie vibonde vipi mnaleta uoga wakidunya, mnavua nguo hamsemi ka mnaoga au mnaknya?..../

GSM: brother tuliwa-test tu kuwapiga mikwara, si unajua sisi ndio ma mbwiga wa vyura.../

JELL MURO na BODI NZIMA YA YANGA: Hapana sisi tulifanya kama matani, wala hatukumaanish TFF tusameheni tu jamani..../

KOCHA MSAIDIZI WA YANGA: Wakina flani bwana walitujaza bichwa, na ndio nikaenda tff kushtaki ili kutafuta sifa.../

SIMBA: nawe tshishimbi mwenye vi rasta ka nsyuka, subiri derby ifike tukusanye hivyo vinywele tuvikate hata na chupa.../

Vyura: "Haturudii tena jamani na wala hatutojitusu, bado siamini ka tff imetuacha bila kutushusha daraja sisi mashushushu..../


Mawengeeee
P the mc
 
unakili bila kujua kwamba TFF wako upande wa nyau fc maana wasinge weza tambua upungufu wa mkataba kama hawajaoneshwa
mwenyeki wa hiyo kesi yanga lia lia acha ubishi
 
Hivi Yanga kwanini wamechana sehemu za saini? Kwanini wasishtakiwe kwa kosa la udanganyifu? Wangeshtakiwa ili iwe funzo siku nyingine
 
Hivi Yanga kwanini wamechana sehemu za saini? Kwanini wasishtakiwe kwa kosa la udanganyifu? Wangeshtakiwa ili iwe funzo siku nyingine
TFF ndo kachana kwa nini hawakuomba nakala ya mkataba toka yanga ambayo haijachanwa
 
kwamba yeye si mkosaji iyo pesa anatakiwa kurudisha ya nini, na bado anatakiwa kamatini tena kwa nini kubali viongozi wameongozwa na u nyau fc wanatoa maamuzi ya kibwege sana

Maswali hayo ya Pesa utauliza wewe tu lakini Viongozi wa Yanga wanashukuru kurudishiwa Pesa zao bila ya kuuliza swali lolote kwasababu wanaijua TAKUKURU balaa lake.

Kama hujui na ulikuwa hufuatilii hili sakata basi hizo USD 30K alipewa Morrison kama Advance kwa ajili ya kusaini Mkataba mpya ambao baada ya Simba kumpa zaidi akagoma kuongeza Mkataba mpya na Yanga wakaona isiwe Shida bora wamsainie tu ili mambo yaishe.
Kiufupi hizo hela ni Hongo/Rushwa ndiyomana Viongozi wa Yanga hawatozihoji bali watazipokea tu wakirudishiwa.

Kuhusu Kupelekwa Kamati ya Maadili TFF walishafafanua nadhani hujafatilia. Sababu ni Kwamba 'Amesaini Mkataba na Simba huku akijua Kuwa Shauri lake lipo Mezani na kuzusha taharuki kinyume na Kanuni za TFF'.
Lakini Utopolo hamufuatilii mambo hatimae munaishia kuishi kwa Mabishano tu.
 
TFF ndo kachana kwa nini hawakuomba nakala ya mkataba toka yanga ambayo haijachanwa

Yanga ndiyo wamepeleka mkataba uliochanwa , washtakiwe kwa kughushi ili siku nyingine wasirudie
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom