Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Jamaa janja janaja sana. Na kikubwa ni kwasababu ‘Wabongo’ tunaongozwa na hisia badala ya uhalisia.!
Washajua wengi wetu ni ‘Mazuzu’ ndo mana wanafanya hayo makitu.

Mkuu niamini, kusingekuwa na Maslahi ya Simba kwenye hii kesi,huyu jamaa ndo tungemsahahu mazima.
Na tungeaminishwa yeye ndio Mkosaji.
Kabisa, ashukuru Mungu Simba wamehusika kwenye hili suala lake, angekuwa ametakiwa na timu ndogo ya ndani, au nyingine ya nje, hao viongozi feki wa hiyo kamati lazima wangemchinjia baharini.
 
Wacha porojo wewe..! Kama ishu ni Usimba na Uyanga, M/kiti wa kamati hiyo ni Yanga lia lia hapo unasemaje?!
Lazima ifikie hatua tukemee haya maujinga kwenye soka letu. Jamaa wanajua fika wamefanya figisu ila bado wanakomaa na kesi, Rubbish..!

Kimsingi ni nafasi ya TAKUKURU sasa kufanya mambo yake ili kukomesha huu ujinga.
uwezo wako ni mdogo mno mwenyekiti kuwa yanga ili hali wajumbe 2/3 ni nyau unahisi mwenyekiti anatoa maamuzi yake binafsi. kumbe nawwe umeme mdodo kwa kichwa

kama morrisoni haku saini mkataba iyo pesa alichukua ya nini na anapelekwa kamatini tena kwa kosa gani?
 
Lazima Watu wawajibishwe kwa hili huu uhuni ni lazima ufike mwisho haiwezekani Tarehe ya Mkataba inaonesha ulisainiwa March 20,2020 wakati tarehe sahihi inaonesha ni Julia 17 ,2020,Lakin pia ukurasa wa kutia saint umekatwa..........TAKUKURU Fanyeni kazi yenu hapa.
 
Jamaa janja janaja sana. Na kikubwa ni kwasababu ‘Wabongo’ tunaongozwa na hisia badala ya uhalisia.!
Washajua wengi wetu ni ‘Mazuzu’ ndo mana wanafanya hayo makitu.

Mkuu niamini, kusingekuwa na Maslahi ya Simba kwenye hii kesi,huyu jamaa ndo tungemsahahu mazima.
Na tungeaminishwa yeye ndio Mkosaji.
kwamba yeye si mkosaji iyo pesa anatakiwa kurudisha ya nini, na bado anatakiwa kamatini tena kwa nini kubali viongozi wameongozwa na u nyau fc wanatoa maamuzi ya kibwege sana
 
Sir, jambo moja unalopaswa kulisanukia humu JF ni kwamba wengi wa watoa hoja hawalijui soka la kucheza wala la mdomo.

Unaweza kutumia nguvu kubwa ku-argue kumbe unabishana na mtu mwenye KG 105! za mwili.
Unaweza kutumia nguvu kubwa kumwelesha mtu kumbe ni under 20! Au pengine ni shabiki wa makelele tu.

Usiwape nondo kali kama hizi hadi pale utakapoona mtu anayejua soka angalau la mdomoni tu.
Nimekuelewa mkuu..! Sirudii
 
uwezo wako ni mdogo mno mwenyekiti kuwa yanga ili hali wajumbe 2/3 ni nyau unahisi mwenyekiti anatoa maamuzi yake binafsi. kumbe nawwe umeme mdodo kwa kichwa

kama morrisoni haku saini mkataba iyo pesa alichukua ya nini na anapelekwa kamatini tena kwa kosa gani?
Bosi,kile kilikuwa kishika uchumba ili avutike akasaini. Tumia akili kidogo japo najua wewe ni ‘Empty head’
 
Hapa pazuri sana; hapa TFF wanaonekana kuwalinda Yanga wakati dhahiri inaonekana kuna mtu Yanga alighushi mkataba wa Morrison, lakini pia, ndani ya TFF kuna mtu/watu wanatakiwa kuadhibiwa kwa kukubali kupokea mkataba wa Morrison toka Yanga wenye mapungufu, hivyo hapo utaona wote, Yanga na TFF wanastahili adhabu kwenye hili.

Hapa Simba unawalaumu bure tu, wao hawajakosea popote, na kama shida yako ni viongozi wa Simba waliopo TFF, hata Yanga pia inao watu wake humo TFF.
iyo wamegushi mkataba unaitoa wapi, iyo pesa anazotakiwa rudisha alipewa katika mazingira gani (kama si ya kusaini mkataba) ama ilikuwa hongo
 
Uamuzi wa KIJINGA kama huu haujawahi kushuhudiwa katika zama za soka la kisasa.

Iweje TFF imruhusu Morrison achezee Yanga wakati mkataba wake ukiwa na 'walakini" kama wanavyojichanganya kamati ya TFF. Wakati FIFA inatumia teknolojia ya kisasa (VAR) kuhakiki kama goli lililofungwa ni halali ama laa, Wajinga wa TFF wanadai hawatambui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Lakini kilichowazi ni uthibitisho wa WAZI kuwa TFF ya sasa ni mawakala wa SSC, wapo pale si kwa kuendeleza soka la Tanzania, bali kuwabeba na kuwatumikia Simba....Shame on You!!!
Usitufokee ,mmefoji mkataba halafu lawama kwa simba,simba walishaona mapungufu ya mkataba ndo maana hawajasubiri TFF kumsajili morison ,walaumu utopolo na TFF siyo simba ,hata hiyo bodi ya sheria unajua mwenyekiti wake ndo huyo huyo aliyegombea uenyekiti wa yanga na msolwa ?hata hivo mlitakiwa mpigwe adhabu kubwa
 
Bosi,kile kilikuwa kishika uchumba ili avutike akasaini. Tumia akili kidogo japo najua wewe ni ‘Empty head’
tangu lini kishika uchumba kikarudi mkuu,isemwe wazi dogo ana tamaa na historia inaonesha ivo mambo ya kishika uchumba unayajua ww
 
Naona Yanga amebebwa wazi wazi, kwanini wamefoji mkataba na wanaachwa hivi hivi?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
kwamba yeye si mkosaji iyo pesa anatakiwa kurudisha ya nini, na bado anatakiwa kamatini tena kwa nini kubali viongozi wameongozwa na u nyau fc wanatoa maamuzi ya kibwege sana
Ilikuwa ni muhimu kumrifaa kwenye hiyo Kamati nyingine japokuwa hakuna kesi ya msingi.
“Eti kwanini asaini Simba wakati kuna kesi yake?! Si anasema tu “nimesaini kwasababu sikuwa mkataba na kilichofanyika ni kufoji. Na bahati nzuri kamati yako imelithibitisha hilo.”
Hapo hakuna kesi bosi. Watu wameamua kujitoa kiaina.
 
iyo wamegushi mkataba unaitoa wapi, iyo pesa anazotakiwa rudisha alipewa katika mazingira gani (kama si ya kusaini mkataba) ama ilikuwa hongo
Umeshaambiwa sehemu ya kusaini mkataba kati ya viongozi wa Yanga na Morrison hapaonekani, pamechanwa, unadhani ni nani waliofanya uhuni huo kama sio GSM?!
 
Back
Top Bottom