Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Kwa kifupi tumegundua mkataba una walakini kidogo hivyo unampa faida Morrison kwa maana kwamba mkataba wa Yanga una utata.
Amesema mweyekiti wa kamati ya sheria na hadhi za wachezaji Elias Mwanjala.
Screenshot_20200812-175216.png

Screenshot_20200812-175759.png
 
Kiaje sasa?anashinda kesi hlf analipishwa?[emoji849][emoji849]
 
Jii Esi Emu wanyang'anywe passport kabla hawajatoroka nchini. Kuna kesi nyingine ya jinai inafuata
 
Kiaje sasa?anashinda kesi hlf analipishwa?[emoji849][emoji849]
Inasemekana hizo pesa Yanga walimuwekea Morrison kwenye akaunti yake bila yeye kujua ili akasaini mkataba wa miaka miwili, wakidhani jamaa angeenda kusaini mkataba wao, matokeo yake Morrison akazikataa hizo pesa na mkataba wao hakusaini.
 
TFF wamejaa simba, mchezaji ataisini vipi club nyingine kabla suala lake halijaisha? Simba watakuwa walikuwa wanajua matokeo kabla
Tulia wewe, haya mambo GSM hawayajui wao wamezoea kutanguliza pesa tu kwenye kila kitu, ndio wajifunze kutulia wafuate taratibu.
 
Back
Top Bottom