Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Morrison huru kujiunga na Simba SC, kamati yasema mkataba wake na Yanga una mapungufu

Hayo mapungufu ni yapi? Hapa kuna kitu wamejaribu kukificha, kwa kusema hivyo ina maana Morisson na Yanga walikua na mkataba wa miaka miwili.

Kwa maana hiyo ule mkataba wa awali wa miezi 6 ulikua batili, Yanga walifoji na adhabu ilikua kushushwa daraja ila wametumia busara tu kusema mkataba wa miaka 2 una mapungufu, kama ulikua una mapungufu kwanini Morisson alivuta dola 25,000?
 
View attachment 1535178

Baada ya vikao nenda rudi kwa siku takribani 3 hatimaye TFF wamejitokeza na kusema kuwa wamefikia uamuzi baada ya vikao vizito

Mchezaji raia wa Ghana, Bernard Morrison amepewa uhuru wa kujiunga na Simba Sc baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kusema kuwa Mkataba wake na Yanga Sc una mapungufu.

Pamoja na Yanga kuwasilisha picha wakati Morrison anasaini mkataba, kamati imesema inafanyia kaza nyaraka na picha haitoshi kuthibitisha.

Kuhusu fedha, Morrison amekiri kupokea dola 25,000 kisha kupokea 5,000 nyingine ambazo amesema atazirejesha Yanga.

> Morrison alisaini kujiunga na Simba Sc akitokea Yanga
Uamuzi wa KIJINGA kama huu haujawahi kushuhudiwa katika zama za soka la kisasa.

Iweje TFF imruhusu Morrison achezee Yanga wakati mkataba wake ukiwa na 'walakini" kama wanavyojichanganya kamati ya TFF. Wakati FIFA inatumia teknolojia ya kisasa (VAR) kuhakiki kama goli lililofungwa ni halali ama laa, Wajinga wa TFF wanadai hawatambui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Lakini kilichowazi ni uthibitisho wa WAZI kuwa TFF ya sasa ni mawakala wa SSC, wapo pale si kwa kuendeleza soka la Tanzania, bali kuwabeba na kuwatumikia Simba....Shame on You!!!
 
Tuliwatega kwa chambo nyie vitoga, nimewakuta mmenasa mpo kando mmedoda....

Hamna jambo mmechokwa, kocha wenu kawatoka.../

mmetuletea sana usng kwa morisoni mwisho wa siku mmejikuta mnasota..../


ENJI BIN UnUq
 
Hayo mapungufu ni yapi? Hapa kuna kitu wamejaribu kukificha, kwa kusema hivyo ina maana Morisson na Yanga walikua na mkataba wa miaka miwili.

Kwa maana hiyo ule mkataba wa awali wa miezi 6 ulikua batili, Yanga walifoji na adhabu ilikua kushushwa daraja ila wametumia busara tu kusema mkataba wa miaka 2 una mapungufu, kama ulikua una mapungufu kwanini Morisson alivuta dola 25,000?
Morrison hakuchukua hiyo pesa, GSM ndio waliomuwekea Morrison hiyo pesa kwenye acc yake baada ya kujua anaweza kwenda Simba ili wamshawishi asaini mkataba wa miaka miwili, matokeo yake Morrison akazikataa hizo pesa, na mkataba wao hakusaini.
 
Uamuzi wa KIJINGA kama huu haujawahi kushuhudiwa katika zama za soka la kisasa.

Iweje TFF imruhusu Morrison achezee Yanga wakati mkataba wake ukiwa na 'walakini" kama wanavyojichanganya kamati ya TFF. Wakati FIFA inatumia teknolojia ya kisasa (VAR) kuhakiki kama goli lililofungwa ni halali ama laa, Wajinga wa TFF wanadai hawatambui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Lakini kilichowazi ni uthibitisho wa WAZI kuwa TFF ya sasa ni mawakala wa SSC, wapo pale si kwa kuendeleza soka la Tanzania, bali kuwabeba na kuwatumikia Simba....Shame on You!!!
Usitufokee mkuu
 
Uamuzi wa KIJINGA kama huu haujawahi kushuhudiwa katika zama za soka la kisasa.

Iweje TFF imruhusu Morrison achezee Yanga wakati mkataba wake ukiwa na 'walakini" kama wanavyojichanganya kamati ya TFF. Wakati FIFA inatumia teknolojia ya kisasa (VAR) kuhakiki kama goli lililofungwa ni halali ama laa, Wajinga wa TFF wanadai hawatambui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Lakini kilichowazi ni uthibitisho wa WAZI kuwa TFF ya sasa ni mawakala wa SSC, wapo pale si kwa kuendeleza soka la Tanzania, bali kuwabeba na kuwatumikia Simba....Shame on You!!!
Wacha porojo wewe..! Kama ishu ni Usimba na Uyanga, M/kiti wa kamati hiyo ni Yanga lia lia hapo unasemaje?!
Lazima ifikie hatua tukemee haya maujinga kwenye soka letu. Jamaa wanajua fika wamefanya figisu ila bado wanakomaa na kesi, Rubbish..!

Kimsingi ni nafasi ya TAKUKURU sasa kufanya mambo yake ili kukomesha huu ujinga.
 
ukiangalia yanga wanasema walimsainisha Morison tarehe 20/03/2020 lakini tarehe 31/03/2020 kuna e mail toka kwa kaimu katibu mkuu wa yanga inamtaka Morison aende kujadiliana juu ya mkataba mpya.
Karatasi yaenye sahihi ya Morison ilionywesha kukatwa TFF walitakiwa waende mbali sio kuishia kutoa maamuzi
 
Uamuzi wa KIJINGA kama huu haujawahi kushuhudiwa katika zama za soka la kisasa.

Iweje TFF imruhusu Morrison achezee Yanga wakati mkataba wake ukiwa na 'walakini" kama wanavyojichanganya kamati ya TFF. Wakati FIFA inatumia teknolojia ya kisasa (VAR) kuhakiki kama goli lililofungwa ni halali ama laa, Wajinga wa TFF wanadai hawatambui matumizi ya teknolojia ya kisasa.
Lakini kilichowazi ni uthibitisho wa WAZI kuwa TFF ya sasa ni mawakala wa SSC, wapo pale si kwa kuendeleza soka la Tanzania, bali kuwabeba na kuwatumikia Simba....Shame on You!!!
Hapa pazuri sana; hapa TFF wanaonekana kuwalinda Yanga wakati dhahiri inaonekana kuna mtu Yanga alighushi mkataba wa Morrison, lakini pia, ndani ya TFF kuna mtu/watu wanatakiwa kuadhibiwa kwa kukubali kupokea mkataba wa Morrison toka Yanga wenye mapungufu, hivyo hapo utaona wote, Yanga na TFF wanastahili adhabu kwenye hili.

Hapa Simba unawalaumu bure tu, wao hawajakosea popote, na kama shida yako ni viongozi wa Simba waliopo TFF, hata Yanga pia inao watu wake humo TFF.
 
Screenshot_20200812-181753.png
 
View attachment 1535178

Baada ya vikao nenda rudi kwa siku takribani 3 hatimaye TFF wamejitokeza na kusema kuwa wamefikia uamuzi baada ya vikao vizito

Mchezaji raia wa Ghana, Bernard Morrison amepewa uhuru wa kujiunga na Simba Sc baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kusema kuwa Mkataba wake na Yanga Sc una mapungufu.

Pamoja na Yanga kuwasilisha picha wakati Morrison anasaini mkataba, kamati imesema inafanyia kaza nyaraka na picha haitoshi kuthibitisha.

Kuhusu fedha, Morrison amekiri kupokea dola 25,000 kisha kupokea 5,000 nyingine ambazo amesema atazirejesha Yanga.

> Morrison alisaini kujiunga na Simba Sc akitokea Yanga
Hii ni habari nzuri kwa washabiki wajinga wa Simba. Mimi kama shabiki imara wa Simba sishabikii Morrison kuja Simba. Morrison ni LAANA kwa viongozi wote wa Simba waliomleta kwenye Klabu yetu.
 
ukiangalia yanga wanasema walimsainisha Morison tarehe 20/03/2020 lakini tarehe 31/03/2020 kuna e mail toka kwa kaimu katibu mkuu wa yanga inamtaka Morison aende kujadiliana juu ya mkataba mpya.
Karatasi yaenye sahihi ya Morison ilionywesha kukatwa TFF walitakiwa waende mbali sio kuishia kutoa maamuzi
Jamaa janja janaja sana. Na kikubwa ni kwasababu ‘Wabongo’ tunaongozwa na hisia badala ya uhalisia.!
Washajua wengi wetu ni ‘Mazuzu’ ndo mana wanafanya hayo makitu.

Mkuu niamini, kusingekuwa na Maslahi ya Simba kwenye hii kesi,huyu jamaa ndo tungemsahahu mazima.
Na tungeaminishwa yeye ndio Mkosaji.
 
View attachment 1535178

Baada ya vikao nenda rudi kwa siku takribani 3 hatimaye TFF wamejitokeza na kusema kuwa wamefikia uamuzi baada ya vikao vizito

Mchezaji raia wa Ghana, Bernard Morrison amepewa uhuru wa kujiunga na Simba Sc baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) kusema kuwa Mkataba wake na Yanga Sc una mapungufu.

Pamoja na Yanga kuwasilisha picha wakati Morrison anasaini mkataba, kamati imesema inafanyia kaza nyaraka na picha haitoshi kuthibitisha.

Kuhusu fedha, Morrison amekiri kupokea dola 25,000 kisha kupokea 5,000 nyingine ambazo amesema atazirejesha Yanga.

> Morrison alisaini kujiunga na Simba Sc akitokea Yanga
Usd 30,000 ndio makelele kibao Town? Mie nilijua 6 figure deal.
 
Wacha porojo wewe..! Kama ishu ni Usimba na Uyanga, M/kiti wa kamati hiyo ni Yanga lia lia hapo unasemaje?!
Lazima ifikie hatua tukemee haya maujinga kwenye soka letu. Jamaa wanajua fika wamefanya figisu ila bado wanakomaa na kesi, Rubbish..!

Kimsingi ni nafasi ya TAKUKURU sasa kufanya mambo yake ili kukomesha huu ujinga.
Sir, jambo moja unalopaswa kulisanukia humu JF ni kwamba wengi wa watoa hoja hawalijui soka la kucheza wala la mdomo.

Unaweza kutumia nguvu kubwa ku-argue kumbe unabishana na mtu mwenye KG 105! za mwili.
Unaweza kutumia nguvu kubwa kumwelesha mtu kumbe ni under 20! Au pengine ni shabiki wa makelele tu.

Usiwape nondo kali kama hizi hadi pale utakapoona mtu anayejua soka angalau la mdomoni tu.
 
Back
Top Bottom