Mbona wanalazimisha waaminiwe kuwa ni wao!!?
Si wameshasema ni wao. Basi watulie. Au Kuna kinachocichwa
 
Mkuu weka sawa maelekezo kwa wanajukwaa wasije kuzidisha dozi
1. Hiyo lita moja unusu unachanganya na kipimo gani cha mizizi? Kama ni kiganja viganja vingapi
2. Unakunywa vuguvugu au baada ya kupoa?
3. Unakunywa glass ngapi, mara ngapi kwa siku?
 
Mkuu weka sawa maelekezo kwa wanajukwaa wasije kuzidisha dozi
1. Hiyo lita moja unusu unachanganya na kipimo gani cha mizizi? Kama ni kiganja viganja vingapi
2. Unakunywa vuguvugu au baada ya kupoa?
3. Unakunywa glass ngapi, mara ngapi kwa siku?
We mizizi ile chemsha. Maji yaliyochemshwa na hiyo mizizi yajaze kwenye chupa ya Lita Moja. Kunywa!
 
Inawezekana ikawa false flag OP wapate sababu ya kuipiga ukraine kwa nyuklia.
Nuclear option si rahisi kama unavyodhani. The moment wao wakianza so does nato watakuwa wamepata sababu ya kuingia ukraine directly na kutumia nuclear. So hapa kila mtu ana mlia mwenzie timing
 
Matumizi yake{jinsi ya kutumia}
Hii mkuu ukipata mizizi icharange vipande vidogo vidogo kama chipsi. Vichemshe na maji mengi

Baada ya kupata mchemshi mzuri maji Yale yatunze kwenye chupa, hakikisha ni Lita Moja na nusu au Moja unywe umalize kwa siku . Uzuri sio wa uchungu

Vipande vianike kesho chemsha tena. Tumia wiki 2 tu. Nakuhakkishia ndani ya siku 4 unaiona dhakari yako imetoka nje nzima nzima... Yani imekunjuka vizuri na sio ndogo kama ileeee.

Mm nipo hapa hapa jamii forum nasubir Mrejesho. Jina langu Kalaga baho
 
Ahsante naweza pata hela hivihivi . kuna jamaa yangu nilimwambia hakuna dawa ya namna hiyo maana anayo kama ya kuku kipisi tu
 
Jamaa watafanywa kitu mbaya kabisa, check advertisment kwanza

 
Siku zote nitaiunga Israel kwenye mammbano dhidi ya Ugaidi wa Kiisalam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…