Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Basi sawa.Mimi nimeeleza kwa mujibu wa Mtume Putin, sijwahi kupata ya elimu ya Cuba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa.Mimi nimeeleza kwa mujibu wa Mtume Putin, sijwahi kupata ya elimu ya Cuba.
Cheap propagandaThe criminals responsible for the Crocus City Hall terrorist attack intended to cross the border between Russia and Ukraine and had contacts on the Ukrainian side, the FSB said.
Wakamuwajibishe Abdula, aliahidi $5000 kwa magaidi yakaue Warusi
View: https://twitter.com/RT_com/status/1771488144992481572?t=mE6N-zf5edfuSO44Trh9Nw&s=19
Mauaji ya wasio na hatia yapingwe bila kujali nani kafanya. Awe Russia au Us,......Na Marekani wameua wananchi wengi Iraq,Syria,Somalia Yugoslavia n.k
ISIS has now released an additional Statement in which they claim Responsibility for the Terrorist Attack last night against the Crocus Concert Hall in the Russian Capital of Moscow; while also Posting a Picture of the Attackers only minutes before the Shooting began, in which you can clearly see the same Outfits on several of the Terrorists that were Arrested by Russian Security Forces in the Bryansk Region earlier today.
View: https://twitter.com/sentdefender/status/1771542281436254682?s=19
Mkuu weka sawa maelekezo kwa wanajukwaa wasije kuzidisha doziYan mkuu hizo mdalasin sijui iliki mchai chai.. karafuu.. mbwembwe tu! Ule mizizi wa ule mti ni baba lao! Jeeshiii
Wewe ukiukamata ule huna haja hata ya kuuanika na kuusaga we ukate vipande kama vya chipsi upige maji uchemshe. Jaza chupa ya Lita Moja na nusu! Jipinde kunywa umailze na ujazie na maji mengine ya kawaida kila ukitoka chooni.. wiki Moja tu utakuja hapahapa na mm nipo
We mizizi ile chemsha. Maji yaliyochemshwa na hiyo mizizi yajaze kwenye chupa ya Lita Moja. Kunywa!Mkuu weka sawa maelekezo kwa wanajukwaa wasije kuzidisha dozi
1. Hiyo lita moja unusu unachanganya na kipimo gani cha mizizi? Kama ni kiganja viganja vingapi
2. Unakunywa vuguvugu au baada ya kupoa?
3. Unakunywa glass ngapi, mara ngapi kwa siku?
Nuclear option si rahisi kama unavyodhani. The moment wao wakianza so does nato watakuwa wamepata sababu ya kuingia ukraine directly na kutumia nuclear. So hapa kila mtu ana mlia mwenzie timingInawezekana ikawa false flag OP wapate sababu ya kuipiga ukraine kwa nyuklia.
Mbona warusi wanafanya kila njia kulazimisha ionekane aliyefanya tukio ni Ukraine. Wanatengeneza mpaka fake videosMbona wanalazimisha waaminiwe kuwa ni wao!!?
Si wameshasema ni wao. Basi watulie. Au Kuna kinachocichwa
Daah ISIS sio magaidi kumbe, niraia pia raia wa ISIS nilikua sijui.Putin aondoe majeshi yake Syria, amemsaidia Assad kuua raia wengi sana wa ISIS.
Wamefika 130? Ni hatari sana
Matumizi yake{jinsi ya kutumia}Mlonge
Hii mkuu ukipata mizizi icharange vipande vidogo vidogo kama chipsi. Vichemshe na maji mengiMatumizi yake{jinsi ya kutumia}
Ahsante naweza pata hela hivihivi . kuna jamaa yangu nilimwambia hakuna dawa ya namna hiyo maana anayo kama ya kuku kipisi tuHii mkuu ukipata mizizi icharange vipande vidogo vidogo kama chipsi. Vichemshe na maji mengi
Baada ya kupata mchemshi mzuri maji Yale yatunze kwenye chupa, hakikisha ni Lita Moja na nusu au Moja unywe umalize kwa siku . Uzuri sio wa uchungu
Vipande vianike kesho chemsha tena. Tumia wiki 2 tu. Nakuhakkishia ndani ya siku 4 unaiona dhakari yako imetoka nje nzima nzima... Yani imekunjuka vizuri na sio ndogo kama ileeee.
Mm nipo hapa hapa jamii forum nasubir Mrejesho. Jina langu Kalaga baho
Jamaa watafanywa kitu mbaya kabisa, check advertisment kwanzaHii Dunia kuna wahuni,vichwa vimeshavurugwa
Jiulize Hao magaidi wamejiamini vip kusafiri mpk Kremlin, Russia kupiga tukio na kuwasha gari kuanza Safari ya kutoroka km karibia 520
Walibakiza km 150 tu,wafike mpakani wasingepatikana tena
Raia zinajiamini kupita kiasi,ukizubaa unazikuta chumbani kwako 😄