Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
9/11 ?Kwa sababu ugaidi ni tofauti sana na matatizo ya akili au ugomvi binafsi wa watu mitaani. Ugaidi huwa unapangwa, visa vya ufyatulianaji risasi Marekani watu hawakai chini wakafanya mipango.
Yaani wao ndio wa kutoa tahadhari kila nchiInafikirisha
Marekani ndio mzalishaji mkubwa zaidi wa mafuta duniani.Silaha ni assets mojakubwa sn kwenye kuwaingizia hela,bila vita mmarekani anakua hana hela it’s part of their budgets kukiws kimya hawana raha,and hawana hela.
So US to survive they need war hakuna kingine,hapo ndiowanaiba rasilimari zote kwa nchi husika.
Asilimia kubwa ya malighafi za mmarekani ameiba sio kununua
Hiyo hai justify kitu broKama una kumbukumbu wakati ule jirani zetu hapo Kenya wakimenyana na Alshabab merikan alikuwa kila wakati anatoa tahadhari na kweli walipopuuzia yalitokea
Kwani wameanza sasa?Wqlijuaje?
It seem naongea na mtu alie shallow😂😂😂😂sasa kazi ya idara yao intelligence ni nini?!
Barbarians hawana tofauti na mababu zaoSilaha ni assets mojakubwa sn kwenye kuwaingizia hela,bila vita mmarekani anakua hana hela it’s part of their budgets kukiwa kimya hawana raha,and hawana hela.
So US to survive they need war hakuna kingine,hapo ndiowanaiba rasilimari zote kwa nchi husika.
Asilimia kubwa ya malighafi za mmarekani ameiba sio kununua
Hujui kitu. Tulia ni spika wa bungeUmepanick. Tulia.
Andika vizuriKwa sababu kilichosemwa kimetokea,wao kwanini wasizuie Uhai wa watu wengine kuishi..
Umefurahi?Taarifa iliyotolewa na ubalozi wa Marekani tarehe 7 Machi ikiwaonya raia wa Marekani kuepuka mikusanyiko mikubwa kutokana na watu wenye itikadi kali kuwa na 'mipango inayokaribia'.😳
Wana milango mizuri sana ya fahamu hasa kunusa hatari.CIA noma sana,
Kabisa, kwenye tukio hili hoja ya FFO haikwepeki.Hii issue ya "false flag operation" inazunguka sana mitandaoni, na hasa kutokana na historia ya siasa za Urusi. Imeturudisha katika mashambulizi ya mwaka 1999 kwenye majengo ya kiraia yaliyochochea uvamizi wa pili wa Chechnya.
Kwa mujibu wa wanazuoni mbalimbali pamoja na baadhi ya maafisa wa zamani wa FSB, serikali ya Urusi pamoja na shirika la ujasusi la Urusi (FSB) lilihusika katika yale mashambulizi ili kujenga uhalali wa uvamizi wa Chechnya.
It will cost Americans, although I know Russian people's won't allow this.basi CIA hawana akili