Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Nauheshim sana huo mtu mkuu. Miaka kadhaa nyuma Kuna mmakonde alikujaga posta alivaa suruali lain na miti shamba. Akawa anashika dude laivu, maeneo ya stendi ya stesheni pale anasema wanaume mnione..Tafadhali usiliweke mkuu. Baada ya wewe kuandika hapa, imebidi nizame gugo kugugo. Nimeelewa maajabu yake. Mleta mada achukue hizo notes
Ilikuwa bonge la dude tukamfata chombingo. Akatuuzia na kutuelekeza, kweli mkuu mm nikaanza kutumia. Nkawa naona utofauti sna ruti ya kwenda choon ikawa kubwa nkawa nakunywa maji mengi. Ndani ya muda nkaona matokeo.. kadri unavyokojoa mara nyingi ongeza kunywa maji mengi.
Narudia mkuu " uheshimu sana huu mti"