Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130
Tafadhali usiliweke mkuu. Baada ya wewe kuandika hapa, imebidi nizame gugo kugugo. Nimeelewa maajabu yake. Mleta mada achukue hizo notes
Nauheshim sana huo mtu mkuu. Miaka kadhaa nyuma Kuna mmakonde alikujaga posta alivaa suruali lain na miti shamba. Akawa anashika dude laivu, maeneo ya stendi ya stesheni pale anasema wanaume mnione..

Ilikuwa bonge la dude tukamfata chombingo. Akatuuzia na kutuelekeza, kweli mkuu mm nikaanza kutumia. Nkawa naona utofauti sna ruti ya kwenda choon ikawa kubwa nkawa nakunywa maji mengi. Ndani ya muda nkaona matokeo.. kadri unavyokojoa mara nyingi ongeza kunywa maji mengi.

Narudia mkuu " uheshimu sana huu mti"
 
Nauheshim sana huo mtu mkuu. Miaka kadhaa nyuma Kuna mmakonde alikujaga posta alivaa suruali lain na miti shamba. Akawa anashika dude laivu, maeneo ya stendi ya stesheni pale anasema wanaume mnione..

Ilikuwa bonge la dude tukamfata chombingo. Akatuuzia na kutuelekeza, kweli mkuu mm nikaanza kutumia. Nkawa naona utofauti sna ruti ya kwenda choon ikawa kubwa nkawa nakunywa maji mengi. Ndani ya muda nkaona matokeo.. kadri unavyokojoa mara nyingi ongeza kunywa maji mengi.

Narudia mkuu " uheshimu sana huu mti"
Screenshot_20240323_194634_Chrome.jpg

Kuna blog imesema hivi kuhusu matumizi yake. Labda kuna maelekezo mengine mkuu
c.c Mjanja M1
 
View attachment 2942916
Kuna blog imesema hivi kuhusu matumizi yake. Labda kuna maelekezo mengine mkuu
c.c Mjanja M1
Yan mkuu hizo mdalasin sijui iliki mchai chai.. karafuu.. mbwembwe tu! Ule mizizi wa ule mti ni baba lao! Jeeshiii

Wewe ukiukamata ule huna haja hata ya kuuanika na kuusaga we ukate vipande kama vya chipsi upige maji uchemshe. Jaza chupa ya Lita Moja na nusu! Jipinde kunywa umailze na ujazie na maji mengine ya kawaida kila ukitoka chooni.. wiki Moja tu utakuja hapahapa na mm nipo
 
Wahuni kama walikuwa range wanashoot ducks aisee kuna watu makatili sana aisee
 
Nauheshim sana huo mtu mkuu. Miaka kadhaa nyuma Kuna mmakonde alikujaga posta alivaa suruali lain na miti shamba. Akawa anashika dude laivu, maeneo ya stendi ya stesheni pale anasema wanaume mnione..

Ilikuwa bonge la dude tukamfata chombingo. Akatuuzia na kutuelekeza, kweli mkuu mm nikaanza kutumia. Nkawa naona utofauti sna ruti ya kwenda choon ikawa kubwa nkawa nakunywa maji mengi. Ndani ya muda nkaona matokeo.. kadri unavyokojoa mara nyingi ongeza kunywa maji mengi.

Narudia mkuu " uheshimu sana huu mti"
mti gani mkuu tupeane kodi
 
Yan mkuu hizo mdalasin sijui iliki mchai chai.. karafuu.. mbwembwe tu! Ule mizizi wa ule mti ni baba lao! Jeeshiii

Wewe ukiukamata ule huna haja hata ya kuuanika na kuusaga we ukate vipande kama vya chipsi upige maji uchemshe. Jaza chupa ya Lita Moja na nusu! Jipinde kunywa umailze na ujazie na maji mengine ya kawaida kila ukitoka chooni.. wiki Moja tu utakuja hapahapa na mm nipo
Sasa mbona hutaji huo mti?
 
Inamaana super power wa mchongo hakuona tahadhari ya Us?
Ulivyo na akili fupi unashabikia ugaidi, hivi hukumbuki kuwa hata US, Israel, German zimewahi kushambuliwa na Magaidi kwa nyakati tofauti tofauti? Punguza mahaba uwe objective.
 
Sasa Mrusi chini ya Putin mbabe wa dunia kiboko ya ukrain alishindwa nini kung’amua haya mpaka asubiri kuambiwa na Mmarikan na bado kupuuzia na yamemkuta kweli!

Yumkini Russia ni failed state kwenye masuala mazima ya intelijensia
Marekani, Ujerumani, Ufaransa na Israel zote hixo kwa nyakati tofauti zime kushambuliwa na Magaidi, je naxo Ni failed state kiintel au Ni chuki ulizonazo juu ya urusi ndo zinakufanya useme hivyo.
 
ISIS has now released an additional Statement in which they claim Responsibility for the Terrorist Attack last night against the Crocus Concert Hall in the Russian Capital of Moscow; while also Posting a Picture of the Attackers only minutes before the Shooting began, in which you can clearly see the same Outfits on several of the Terrorists that were Arrested by Russian Security Forces in the Bryansk Region earlier today.

View: https://twitter.com/sentdefender/status/1771542281436254682?s=19
 
Back
Top Bottom