Moshi: Adai kupatiwa maji ya baraka yalioathiri uke wake!

Kuna ujinga mwingi unaendelea hapa Tz,japo ni uhuru wa kuabudu ila samtaimzi huwa naona bora Kagame alivyopiga marufuku haya Makanisa yanayoota kama uyoga
 
Ile kitu ilivokua na sura mbaya afu iwe na uharibif tena .....tobaaaaa

Si itakua inatisha sanaaa
 
Kuna jamaa mmoja kutoka kabila bishi nchini, yeye kapewa mafuta kutoka kwa nabii kaambiwa apake usoni hivi sasa kaungua uso wote ana rangi mbili.
 
makubwa haya...kwani maji hayo yanachanganywa na nini wajameni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…