Moshi: Kijana aliyelawitiwa na Wanaume Watano, wazazi Wasema hawawezi kumudu gharama za nauli ya kufuatilia kesi

Waafrica akili hakuna kabisa, yani tuna funga jela mashoga ( wanaoingiliwa) ambao ni victim harafu tunaacha wanaume wanaoingilia mashoga ili watafute wengine wa kuharibu.
Pumbavu sana.
 
Aisee sjui kwanini kilimanjaro huu ujinga unasambaa kwa kasi yaani kuna sehemu nilienda huko rombo moshi arusha vijana wanapenda kuliwa sana
Kwakweli hali inatisha sana hayo maeneo, ni kawaida kabisa kukuta vijana wanaongea huku kila mmoja ameshika paja la mwenzake
 
Siku mtakapo acha unafikiii, na tatizo la ushoga litatatulika.
 
Athari za ulevi uliopindukia na mibangi maana mtu huwezi fanyiwa hivyo ukiwa na akili timamu labda kwa watoto walionyanyaswa wakiwa hawajitambui
Kwani Gays wanaofanywa kwa hiyari ni matahira? Au walinyanyaswa utotoni? Ndo maana mnashindwa kutatua tatizo hili.
Kwa 7bu hamjui nn mfanye.
 
Waafrica akili hakuna kabisa, yani tuna funga jela mashoga ( wanaoingiliwa) ambao ni victim harafu tunaacha wanaume wanaoingilia mashoga ili watafute wengine wa kuharibu.
Pumbavu sana.
Sio akili hakuna ni UNAFIKI.
Hata mtaani msenge atatengwa, ila basha ataonekana shujaa na mwanaume haswaaa.
 
Wapo wapi wapiga kelele haki za binadamu ? Wanachagua ishu za kusimama nazo kama upinde na feminism bullshit.
 
Kesi hiyo ni kati ya Jamhuri na watuhumiwa, wao ni sawa na sisi ni wasikilizaji tu.
 
Naomba habari hii imfikie Dada Dorothy Gwajima kwa hatua zaidi.
Lakini hata Kama wazazi hawawezi kuja mahakamani ndio kesi ifutwe?
 
Hapo kilimanjaro watu wanazidi kupoteza ubingwa
 
Huku kweny mitandao wanasema wote matajiri ,mda huo watu wanashindwa pesa ya nauli.

Maghayo njoo uone michezo yenu ya kupakuana.!
 
Hao washenzi 5 wasitumie kigezo cha mwenzao kuwa na tatizo la akili kuendelea kumgeuza mke.

Kuna haja huyo Mama yake aende dawati la jinsia ili asaidiwe kufungua mashtaka ili kuweza kuwaadabisha hao wafedhuri.

Kama mtaona mnaweza kusimamia zoezi la kuchangisha michango na kuwasilisha Kwa mlengwa ili kusaidia gharama za awali za kufungua mashtaka pamoja na gharama za kuendesha case nipo tayari kuchangia kidogo sehemu ya mchango huo.

Tuungane kupinga Ulawiti kwani ni chukizo mbele za Mungu pamoja na jamii iliyostaarabika ya Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…