Sea Beast
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 2,212
- 4,808
Kibinadamu upo sahihi ila kiuharisia sio rahisi huko mtaani kila mtu yupo na shida ambayo inamtafuna na anahitaji pesa ya haraka 20, 30 n.k kusavaivu sio poa.Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,🙆🏼♂️🙆🏼♂️