Moshi: Mama afariki Dunia akiwa nyumbani kwa kukosa pesa ya matibabu, aacha watoto wadogo

Moshi: Mama afariki Dunia akiwa nyumbani kwa kukosa pesa ya matibabu, aacha watoto wadogo

Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️
Ugonjwa wa kuhara sio malaria usubirie michango.
 
Laanq zote hizi zitawarudia CCM na huyu Rais anayetesa wananchi kwa kuwasababishia unasikini na kuwaonhezea umasikini kwa tozo kupandisha bei za bidhaa juu na migao ya umeme maji n.k huku wao wakiendelea kulamba asali.One day
Sio wa kulaumiwa ni janga la dunia,
Corona ililetwa Ili kushusha uchumi wa Dunia Ili ukitaka kukopa ni lazima uukubali ushoga.
 
Za serikali..
Unaanza kufungua file na 2000
Pengine hakuwa na nauli au hiyo 2000 🥲🥲
Hospitali gani iyo ya serikari kufungua file ni buku 2 ?? Nme kaa paleee
 
Marehemu Happiness kasmiry kutoka kijiji cha Usari wilaya ya Moshi. Alishikwa na ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika kwa siku kadhaa kabla ya kufariki dunia akiwa nyumbani kwake kutokana na Kukosekana kwa fedha ya matibabu.

Mume wa marehemu huyo ajulikanae kwa la John alihakangaika kutafuta pesa ya kumpeleka Hospital kwa siku kadhaa bila mafanikio.

Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili.

Marehemu ameacha watoto watatu wadogo. Mwenyekiti wa kijiji hicho amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake
Ajabu wanakijiji ukute msibani wamechinja ng'ombe, mbuzi, kuku, kondoo n.k na pesa ya sanda na jeneza inapatikana haraka sana... Ndugu wa mbali watapata nauli za kujia msibani.
 
Marehemu Happiness kasmiry kutoka kijiji cha Usari wilaya ya Moshi. Alishikwa na ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika kwa siku kadhaa kabla ya kufariki dunia akiwa nyumbani kwake kutokana na Kukosekana kwa fedha ya matibabu.

Mume wa marehemu huyo ajulikanae kwa la John alihakangaika kutafuta pesa ya kumpeleka Hospital kwa siku kadhaa bila mafanikio.

Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili.

Marehemu ameacha watoto watatu wadogo. Mwenyekiti wa kijiji hicho amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake
Daaah, Mwigulu umeona unachofanya lakini? Trillion 12 unaenda kulipa mariba matupu.., halafu watu wanakosa hata nauli ya kwenda hospitali, hivi hamna huruma? Nyie binadamu wenzetu kweli?
 
Rambi rambi tupeleke wapi?

hela za mchele na viungo?

the only thing africans can cooperate
 
Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️
Yaaaaan inasikitishaa
 
Ni moja ya safari zetu hapa duniani, apumzike kwa amani mpendwa wetu Happy.
 
Back
Top Bottom