Moshi: Mama afariki Dunia akiwa nyumbani kwa kukosa pesa ya matibabu, aacha watoto wadogo

Moshi: Mama afariki Dunia akiwa nyumbani kwa kukosa pesa ya matibabu, aacha watoto wadogo

Watu Wana roho mbaya, majirani wote wameshindwa kumpa msaada hata wa laki akaanze matibabu, mpaka mtu anakufa
Wanasbiria kuchanga Msiba wale,wanywe,Ndugu wafunge safari kutoka Mikoani waende kumzika....
Wanadamu wanafiki sanaa
 
Marehemu Happiness kasmiry kutoka kijiji cha Usari wilaya ya Moshi. Alishikwa na ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika kwa siku kadhaa kabla ya kufariki dunia akiwa nyumbani kwake kutokana na Kukosekana kwa fedha ya matibabu.

Mume wa marehemu huyo ajulikanae kwa la John alihakangaika kutafuta pesa ya kumpeleka Hospital kwa siku kadhaa bila mafanikio.

Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili.

Marehemu ameacha watoto watatu wadogo. Mwenyekiti wa kijiji hicho amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake
Huku simba na Yanga wanapewa miln tano kila Gori Moja.
 
Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,[emoji2301][emoji2301]
Roho mbaya kubwa Sanaa hyooo....
Ngoja sanduku atalozikwa nalo litakavokua zuri
 
Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,[emoji2301][emoji2301]
Utaona watakavyotoa kwenye mchango wa Msiba,pesa itakua kibao hadi utajiuliza Sasa walishindwa Nini kumpaa pesa ya matibabu japo kidogo!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Poleni wafiwa, kama ni Mkristu na anashiriki jumuiya, Mimi ninailaumu hiyo jumuiya kwa kushindwa kumpa msaada.
 
Marehemu Happiness kasmiry kutoka kijiji cha Usari wilaya ya Moshi. Alishikwa na ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika kwa siku kadhaa kabla ya kufariki dunia akiwa nyumbani kwake kutokana na Kukosekana kwa fedha ya matibabu.

Mume wa marehemu huyo ajulikanae kwa la John alihakangaika kutafuta pesa ya kumpeleka Hospital kwa siku kadhaa bila mafanikio.

Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili.

Marehemu ameacha watoto watatu wadogo. Mwenyekiti wa kijiji hicho amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake

Kikwette anasema watanzania hawana magumu ya maisha wala matatizo ya gharama za tiba kama yeye au familia yake ya walamba asali
 
Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,🙆🏼‍♂️🙆🏼‍♂️
ishu sio kuchangisha mkuu, Huenda kijiji kina wagonjwa wengi sana na uwezo wa waliomzunguka huenda kipato chao hakina akiba ni ile wanapata wanakula inaisha. Na mara nyingi kuna watu hawapendi kutangaza mambo yao au hata akisema wanachukulia kawaida tu. Maana siku hizi ni kawaida kusikia neno sina hata Mia, sina hela, nina matatizo n.k haya manneo yamezoeleka kiasi kwamba hata ukimwmabia mtu anaona tu ni kawaida
 
Mnaolaumu majirani kutomsaidia jamaa hamuishi hapa nchini ama ni nini hiki??
Hamtujui watz tulivyo, hamjui umaskini huzaa utapeli na kutoaminika.

UKiwa maskini hutokosa madeni, umeshakopea shida zote za uongo na kweli. Utawaambia nini wadeni wako wakuamini ili wakukopee tena.
 
Watu Wana roho mbaya, majirani wote wameshindwa kumpa msaada hata wa laki akaanze matibabu, mpaka mtu anakufa
Niliwahi skia huko Chuga na Moshi wanajifanya wakenya kila mtu kivyake.
 
Halaf hapo watachanga pesa ya mchele wapike msiban
Hapo ndio unauona unafiq wa watu wazi wazi, yaan hata wanaolia msibani huwa hawalii kumaanisha zile ni geresha tu, wanasubiri ukishafukiwa wale na kunywa maana misiba ya siku hizi ni kama sherehe.
 
Kila mtu anakuwa na sababu yake ya kifo chake ila huyo mume wa marehemu ni mzembe
 
Back
Top Bottom