Moshi: Mama afariki Dunia akiwa nyumbani kwa kukosa pesa ya matibabu, aacha watoto wadogo

Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,πŸ™†πŸΌβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΌβ€β™‚οΈ
Kibinadamu upo sahihi ila kiuharisia sio rahisi huko mtaani kila mtu yupo na shida ambayo inamtafuna na anahitaji pesa ya haraka 20, 30 n.k kusavaivu sio poa.
 
Inasikitisha sana ,huyo mume wake na yeye ameshindwa kabisa kujiongeza? Kwanini asingempeleka hospital kwanza wakapata matibabu then ndio akaanza kufany harambee kwa majirani kukusanya pesa? Muhara/Kutapika unaondoka fasta maana unapoteza maji kwa kiwangu kikubwa.
 
Mimi ninatoa mkuu tena zaidi ya hiyo kwenye uhitaji
 
Wachaga wana tabia ngumu na ya ajabu sana. Ingekuwa harusi wangechanga ili mradi tu walewe. Sasa fuatilia maandalizi ya huo msiba. Hapo kuna Tshirt zitatengenezwa na kamati ya vinywaji. Huyo Mwenyekiti hana maana na.ni mjinga.
 
Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,πŸ™†πŸΌβ€β™‚οΈπŸ™†πŸΌβ€β™‚οΈ
Hivi nyie mmefanikiwa hata kuishi kijijini kweli, au ni story tu mnasikia? Upatikanaji wa pesa kijijini ni mdogo sana, ukisikia mtu fukara ni fukara kweli.
 
Tuanze leo basi kuwachangia waliokwama mahospitalini Kupata tiba.
Pale Muhimbili kanisa katoliki ukipeleka hata pampa's moja tu ya sh 500 inapokelewa ni sadaka tosha kwa ajili ya watoto wachanga wenye uhitaji, kuliko kuhonga malaya milioni Ili akupe UTI, na stress.
 
Kuna kauzembe
 
Watu Wana roho mbaya, majirani wote wameshindwa kumpa msaada hata wa laki akaanze matibabu, mpaka mtu anakufa
Siyo roho mbaya, kumbuka watu tungeweza kumchangia, ila kuna sherehe za ubatizo, komunio na Kipaimara na jarusi zitakuja na hela zilizopo ni kwa ajili ya sherehe hizo.

Ngoja tuangalie jinsi ya kuchangishana kwa ajili ya msiba. Hii ya ugonjwa ina kaugumu fulani, tunaomba mtusamehe.
 
Laanq zote hizi zitawarudia CCM na huyu Rais anayetesa wananchi kwa kuwasababishia unasikini na kuwaonhezea umasikini kwa tozo kupandisha bei za bidhaa juu na migao ya umeme maji n.k huku wao wakiendelea kulamba asali.One day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…