Kibinadamu upo sahihi ila kiuharisia sio rahisi huko mtaani kila mtu yupo na shida ambayo inamtafuna na anahitaji pesa ya haraka 20, 30 n.k kusavaivu sio poa.Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,ππΌββοΈππΌββοΈ
Kama ameshindwa kulipa matibabu ya haraka, hiyo ya kulipia bima ambapo unalipa tu hata kama hauumwi ataiweza?Halafu kuna watu wanaona Bima ya Afya kwa wote ni hasara kwa Taifa.
Watz mazuzuHalafu kuna watu wanaona Bima ya Afya kwa wote ni hasara kwa Taifa.
Kutafuta sio kupata hakuna aliyekaa
Nadhani ujanielewa jamaa, hio LAKI umeandika kiurahisi sana mtaani kuipata hio mtu kukupa sio rahisi Kama ulivyoandika jomba, mtaani kupata LAKI kwa watu wanaokopesha kwa riba tena unaweka asset Kama TV kubwa, LAPTOP yaani ulivyoandika sio rahisi hivyoLaki na maisha ya mtu kipi Bora?
Nashangaa kuna muda lawama government yetu inaonewa, suala ilikuwa kupelekwa hospitali, bill baadae.Hivi ukienda Hospital unaambiwa utoe ela kwanza ndipo utibiwe ?
Unaelewa unachokimaanisha mkuu?!Halafu kuna watu wanaona Bima ya Afya kwa wote ni hasara kwa Taifa.
Mimi ninatoa mkuu tena zaidi ya hiyo kwenye uhitajiNadhani ujanielewa jamaa, hio LAKI umeandika kiurahisi sana mtaani kuipata hio mtu kukupa sio rahisi Kama ulivyoandika jomba, mtaani kupata LAKI kwa watu wanaokopesha kwa riba tena unaweka asset Kama TV kubwa, LAPTOP yaani ulivyoandika sio rahisi hivyo
Wachaga wana tabia ngumu na ya ajabu sana. Ingekuwa harusi wangechanga ili mradi tu walewe. Sasa fuatilia maandalizi ya huo msiba. Hapo kuna Tshirt zitatengenezwa na kamati ya vinywaji. Huyo Mwenyekiti hana maana na.ni mjinga.Marehemu Happiness kasmiry kutoka kijiji cha Usari wilaya ya Moshi. Alishikwa na ugonjwa wa tumbo wa kuhara na kutapika kwa siku kadhaa kabla ya kufariki dunia akiwa nyumbani kwake kutokana na Kukosekana kwa fedha ya matibabu.
Mume wa marehemu huyo ajulikanae kwa la John alihakangaika kutafuta pesa ya kumpeleka Hospital kwa siku kadhaa bila mafanikio.
Mume wa marehemu amesema alikuwa anakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na kumuhudumia mama yake mzazi ambae amepooza upande mmoja wa mwili.
Marehemu ameacha watoto watatu wadogo. Mwenyekiti wa kijiji hicho amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kusema ni kweli familia ilikosa namna ya kumpeleka kupata matibabu kutokana na ukata hivyo mama huyo kufariki dunia akiwa nyumbani kwake
Hivi nyie mmefanikiwa hata kuishi kijijini kweli, au ni story tu mnasikia? Upatikanaji wa pesa kijijini ni mdogo sana, ukisikia mtu fukara ni fukara kweli.Watu wote walozunguka pale walishindwa msaidie aende hospital ,?mwenyekit anashindwa changisha watu huku mgonjwa yupo hospital mbona wanachangisha pesa za mlinzi mara sijui nin ,ππΌββοΈππΌββοΈ
Kuna kauzembeInasikitisha sana ,huyo mume wake na yeye ameshindwa kabisa kujiongeza? Kwanini asingempeleka hospital kwanza wakapata matibabu then ndio akaanza kufany harambee kwa majirani kukusanya pesa? Muhara/Kutapika unaondoka fasta maana unapoteza maji kwa kiwangu kikubwa.
Siyo roho mbaya, kumbuka watu tungeweza kumchangia, ila kuna sherehe za ubatizo, komunio na Kipaimara na jarusi zitakuja na hela zilizopo ni kwa ajili ya sherehe hizo.Watu Wana roho mbaya, majirani wote wameshindwa kumpa msaada hata wa laki akaanze matibabu, mpaka mtu anakufa