Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga wa Hai hawanaga meno, Sabaya aliwasumbua wako komya tu.Wananchi mna shindwa kufanya action moja matata hapo .kama nyie ndo mme chimba huo mtaro sizani kama ita washinda kuuchimbua
Wewe ni kenge...nimezungumzia kimira sio boma uwege unaelewa shuwainSio kweli mradi wa maji nimeunga napata maj vzr nikiwa boma
Wewe ni mpumbavu wa mwisho!!!Kirikiri ni kimira?Jifunze kutofautisha
Pili unasema eti nachozungumza ni uwongo?Unakifahamu kijiji cha kimira au unaropoka?Kimira ya Juu yote kuanzia kanisani mudio tokea 2014 wananchi wanateseka maji yameuzwa Islamic na kibohehe halafu unaongea pumba zako hapa
Maji ya kimira yote yamechepushwa kupitia mkwamangi yakapelekwa mudio Islamic halafu wewe unatetea uwongo wako hapa kanakwamba wewe unaijua kimira kuliko mm mkazi?
Unaendelea kudhihirisha chuki yako. Huyo Menard aliyekuwa meneja ndani ninkwa ajili ya ishu ya pesa ya KNCU na wala siyo pesa za maji.Halafu nikukumbushe Aliyekua boss wa hii kampuni kutoka hiyo kirikiri yenu alisweka ndani baada ya kuiba milioni 900 za maji na bila shaka wewe utakua mwanae au ni mnufaikia mfumo wa unyonyaji ndo zenu nyie watu wa modio
Kwa sasa maji yapo ila ni kidogo sanamkuu unamaanisha sasa hivi yale maji ya mgao ya kumwagilia mashambani yanayomwagika mwaka mzima hayapo tena!!!?..
Piganeni yaishe tuWewe ni mpumbavu wa mwisho!!!Kirikiri ni kimira?Jifunze kutofautisha
Pili unasema eti nachozungumza ni uwongo?Unakifahamu kijiji cha kimira au unaropoka?Kimira ya Juu yote kuanzia kanisani mudio tokea 2014 wananchi wanateseka maji yameuzwa Islamic na kibohehe halafu unaongea...