denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Hawa jamaa walifanya hii michezo yao ya kihuni kwenye serikali za mitaa watu wakakaa kimya, sasa wanajaribu tena kuifanya na uchaguzi mkuu, wasijidanganye, hapa mambo hayatakuwa kama serikali za mitaa, CCM twendeni kwenye uchaguzi tukashindane, mnaogopa nini?!
Nyie si huwa mnajiita chama dume, kumbe ni majike tu.
Nyie si huwa mnajiita chama dume, kumbe ni majike tu.