Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha unamuita young lady mwenzio uchi ushaota kutu kwa uzee? Huyo anakuzalia mama'ko kabisa!
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha unamuita young lady mwenzio uchi ushaota kutu kwa uzee? Huyo anakuzalia mama'ko kabisa!
Hebu tutumie akili ya kawaida tu yaani mwalimu apige deki huku mwana
huyu mama atakuwa single maza!!!!!!!,,manake single maza wengi wanadekeza sana watoto wao!!!!Ukute huyu naye anajiita mzazi.
Yah nadhani alifariki kwa Corona. Ila Moro sec ilikuwa na madada du sio poa.Kumbe yule baba alifariki doh!!
Umenikumbusha miaka hioooooo zamani watoto wa Patel mnakatiza kama kumbikumbi Morosec😁!!
Basi basi kivumbi leoWanasema walimu hawajitambui ingali nao ndiyo walikopitia...kuna muda wakija juu inabidi kuwaonyesha kuwa tunajitambua.mxiew
Yani wanaongea tu hapa yani!Wanasema walimu hawajitambui ingali nao ndiyo walikopitia...kuna muda wakija juu inabidi kuwaonyesha kuwa tunajitambua.mxiew
Moro sec intake ya mkuu gani? Isiniambie Advance hii ya juzi? Nilipita pale wakati mkuu wa shule Babu ManangaKumbe yule baba alifariki doh!!
Umenikumbusha miaka hioooooo zamani watoto wa Patel mnakatiza kama kumbikumbi Morosec😁!!
😂😂😂😂 khaaaaa!!Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Udugu umefikiwa 😂😂😂Yani wanaongea tu hapa yani!
Kuna watoto ni wapuuzi sana na unakuta Wazazi ndio wanaowapa jeuri kumbe yanatumwa kutafutia walimu lawama tu!
Fools!
Wewe umeongea hoja ya msingi huenda kulikuwa na shida mahali mzazi akashindwa jizuia.Tatizo mwandishi ameamua kuchagua kuwa upande wa waalimu bila hata kutumia akili, hivi kweli mtoto achapwe fimbo moja halafu mzazi aje kufanya fujo shuleni?
Fanyeni uchunguzi kidogo kabla ya kuleta habari kwenye public.
-inawezekana mtoto ana matatizo ya afya ndio maana alikataa kudeki, so mwalimu kabla ya kukurupuka kutumia mafimbo angemshirikisha mzazi(siku hizi simu zipo kila mahali).
-semeni ukweli alimchapa vipi na alitoa maneno gani wakati anamchapa au wakati mzazi alipokuja shuleni.
UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE MZAZI.
Kumbe juzijuzi tu hapa jamani apumzike kwa amani !Yah nadhani alifariki kwa Corona. Ila Moro sec ilikuwa na madada du sio poa.
Hovyo kabisa huyoo yani mwalimu adeki na wanafunzi wapo???Udugu umefikiwa 😂😂😂
Kuna mmoja kasema kudeki ni kazi yenu mnalipwa na serikali
😂😂😂😂ndo manake kina 'selemani" wanazidi kuwa wengi mtaani!!!
Kumbe ulisoma Moro sec udugu?Kumbe juzijuzi tu hapa jamani apumzike kwa amani !
Miaka hiooo Morosec Hostel kuna shida ya maji ile jioni tulikua tunaenda shuleni kwenu kuomba maji!
Yanii Morosec ubishoo tangu enzi hizoo sikuhizi na hiki kizazi nasikia ndio balaa tupu!
Nilikaa hostel Dom c ijue Ujamaa.Kumbe juzijuzi tu hapa jamani apumzike kwa amani !
Miaka hiooo Morosec Hostel kuna shida ya maji ile jioni tulikua tunaenda shuleni kwenu kuomba maji!
Yanii Morosec ubishoo tangu enzi hizoo sikuhizi na hiki kizazi nasikia ndio balaa tupu!
Wewe tulia si ulitaka mwenyewe kuwa mwalimu? Unaelewa maana ya ualimu ni wito???Kabisa aseee imekua too much!!
Unakuta mzazi mwingine anakuja shule anakufosi umsikilize muda huohuo anotaka yeye anakwambia unamchekewesha ana shughuli za kufanya!😁😁😁!
Kmamakeee usintafutie matatizo rudi kafanye hizo shughuli zako shenztypeee!!
Eti mnalipwa 😂😂😂😂Hovyo kabisa huyoo yani mwalimu adeki na wanafunzi wapo???
Eboooh!
Mi Zamani sana kipindi Hostel inachukua wasichana na wa Olevo sio wa Advance tu!Moro sec intake ya mkuu gani? Isiniambie Advance hii ya juzi? Nilipita pale wakati mkuu wa shule Babu Mananga
Hata kama sio ndio mtake kutupanda kichwani kama matahira bwana weeeh!W
Wewe tulia si ulitaka mwenyewe kuwa mwalimu? Unaelewa maana ya ualimu ni wito???
Mtumishi gani halipwi??Eti mnalipwa 😂😂😂😂
Mi nilikua Dom E😁!Nilikaa hostel Dom c ijue Ujamaa.