Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

nilikuta kuna utaratibu wa kupikiwa chai na msosi wa mchana na wanafunzi wa kike wale wakubwawakubwa. Mbona ni kawaida sana wanafunzi kupikia chai walimu staff? Ila chai yangu ilikuwa ya nyumbani sio ya ofisini. We usingeniweza ningekubamiza mbali. Fahamu kuwa sie walimu wengine tunajua dhahma na tafrani zinazoweza kutokea shuleni muda wowote ikiwemo sisi kwa sisi kunyukana. Kwa hiyo muda wote tuko on alert ku deal na kitu chochote cha shari kitakochotokea
Wahenzi nyie eti wanafunzi wakubwa wakubwa wanakupikia chai! Ole wako ole wako. nimeleta mtoto kusoma wewe umgeuze mke wa kukupikia chai? Dahh! Nimejikuta napata hasira mpaka natetemeka.

Wadau wa humu nadhani mmeona maoni ya mwl huyu LOTH HEMA, sasa kwa taarifa yenu Kuna walimu wengi sana wenye akili mbovu kama za huyu mwamba sasa mzazi ntakuwa nimefanya kosa kumzabua mabanzi na mitama mwl wa design hii kama akijichanganya kwa mwanangu?????
 
Walimu nao hawajielewi wangetoa mfano Kwa huyo mzazi Kwa kumuingilia na kumpiga mpaka anye Ili next time asiwepo mpumbavu mwingine wa kujaribu na kuthubutu kufanya kitendo kiovu kama hicho.Waalimu mjitahidi kujitetea wenyewe hebu acheni kulalamika Kila wakati muda mwingine mjitetee wenyewe.
 
Huwa unafuata utaratibu wa utoaji adhabu kwa mujibu wa wataka wa elimu na adhabu mashuleni?

Au na wewe ni miongoni mwa walimu vilaza wasiojua hata job description zao bali kutumia mabavu tu kuonea vitoto visivyoweza kujitetea?

Mimi nilishatoa onyo kwa mwalimu mkuu endapo mwanangu ataadhibiwa adhabu za kipumbavu zisizofuata utaratibu kamili basi hicho kibarua chake kitaishia siku hiyo.
Sawa sawa
 
Walimu ni makatiri kuliko hata polisi sema hawajapewa mamlaka kama polisi. Lkn siku ikiwa virse vesa ndio mtawajua rangi zao halisi. Emergine mwl anaponda katoto kadogo ka darasa la kwanza mpaka kanajikojolea lkn haachi anaendelea kupiga huku akisema mpaka unye ndo ntakuacha.
Mnayapa malezi mabovu na ya kishenzi hayo mandondocha yenu halafu mnakuja kubwatuka hapa .
Hiyo tabia mbovu mwanafunzi anatoka nayo nyumbani anakuja nayo shule ,ni lazima anyooshwe .
Kama mnaona vipi pelekeni hiyo misukule yenu private
Na hata private huko kipondo na suspension Kwa matoto Makaidi huwa zinafanyika sana ,unless muwapeleke nje ya nchi
Acheni unafiki
Wewe umesomea wapi mpaka utake kuleta ushenzi wa kuwaponda walimu ?
Umelazimishwa kumpeleka huyo zezeta wako shule ,si uache ?
Uendelee kukaa naye hapo kwako ?
Pumbavu ,
Watanzania mjifunze kuheshimu Proffessions za watu .
 
Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.

Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo Kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.

Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.

Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
ndo manake kina 'selemani" wanazidi kuwa wengi mtaani!!!
 
Walimu nao hawajielewi wangetoa mfano Kwa huyo mzazi Kwa kumuingilia na kumpiga mpaka anye Ili next time asiwepo mpumbavu mwingine wa kujaribu na kuthubutu kufanya kitendo kiovu kama hicho.Waalimu mjitahidi kujitetea wenyewe hebu acheni kulalamika Kila wakati muda mwingine mjitetee wenyewe.
Ndio maana nashangaa huu ujinga wa wapi ?
Kama huyo mzazi aliona ni kosa ,angeenda polisi kushtaki , huu upuuzi sana
Hao waalimu wenzake maduwanzi sana ,wangemyoosha huyo pimbi
 
Hivyo vifaranga mlivyovitotoa halafu vinalala vinawachungulia mkizagamuana,havina adabu hata robo.wengine kwao hawajawahi kuona aina hiyo ya tabia mbovu eti mtoto wa shule atumwe akatae[emoji16][emoji16][emoji16].kama ana matatizo ni jukumu la mzazi kutoa taarifa siku anamuandikisha shuleni.sio kananyanyua mabega tu na kuvuta mdomo.


By the way ingekuwa sekondari angepewa mwanaye aende naye.
 
Sasa mgonjwa unamlinganisha na mwanafunzi!?
Yaani unauliza kwa akili ya kawaida? Umeshaenda hospitali ukakuta wagonjwa ndiyo wanafanya usafi? Acheni upuuzi, Wewe mwalimu hilo ni eneo lako la kazi, unatakiwa ufanyie usafi, Mwanafunzi kazi yake ni kusoma tu, Hiyo mitaala ya ziada iainishwe kwamba kwa kazi hizo za ziada malipo yafanyike kwa wanafunzi au makato yafanyike kwenye mishahara ya waalimu kwa kufanyiwa usafi na kazi zingine mnazoziita za ziada.
 
Wewe ni mpumbavu
Mna pesa ya kuwalipa wafanyakazi wa usafi ?
Kama ada tu mmeshindwa kulipa mpaka inaletwa programu ya elimu bure
Wewe umesoma shule gani hiyo ambayo waalimu huwa wanafanya kazi za usafi ?
Fool
Wewe ni Mpumbavu x 10, Nani kasema mzazi alipe hela? Mwalimu ndiye anatakiwa kulipa wafanyakazi wa usafi kwa kufanya usafi eneo lao la lazi, wakatwe kwenye mishahara yao.
 
Back
Top Bottom