Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Upumbavu wake ni upi?
Wewe unadhani dunia ya leo mtoto kudeki ndiyo maadili?
Upumbavu mtupu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upumbavu wake ni upi?
Baadhi ya walimu ni wapumbavu kupitiliza. Yeye kupiga watoto hovyo anaona fashion kumbe ujinga umemjaa.Pale Sangu secondary,wameajiri watu wa usafi na wanafanya usafi Mazingira yote ya nje pamoja na vyoo.
Usafi darasani wanafanya wanafunzi...
Watu wa hostel walikuwa wanadeki weekend...katikati ya wiki watu wa day mnafanya..na sanasana ilikuwa kuokota karatasi tu kama zipo.
Njoo sasa shule zetu za serikali..
Mtoto anafanya usafi kuanzia hostel anakolala,,mazingira ya nje ya hostel,vyooni hostel,jikoni hostel,dining za hostel na upande wa madarasani mtoto adeki darasa,adeki ofisi za walimu,adeki chooni,akafyeke,bado ana eneo la kufagia kuuubwaa na kila siku lifagiliwe,
Kuna kazi za kufyeka vichaka,
Hapo bado ana tuta la mboga linamsubiri akamwagilie.
Binafsi simuungi mkono mwanafunzi kumgomea Mwalimu lakini kazi za usafi ziwe na kiasi.
Watoto wasifanyishwe kama punda.
Pia walimu wapunguze vipigo...
Sidhani kama mzazi anaweza kumvamia Mwalimu na kumpa kipigo kama ingekuwa mtoto ameadhibiwa kistaarabu kwa fimbo moja.
Walimu wanapiga mno watoto na adhabu kali mno.
Vyoo vya wanafunzi au vyoo vya shule?Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Ukikutana na mimi nakutandika ngumi za kisogo mpaka unajinyeanilikuta kuna utaratibu wa kupikiwa chai na msosi wa mchana na wanafunzi wa kike wale wakubwawakubwa. Mbona ni kawaida sana wanafunzi kupikia chai walimu staff? Ila chai yangu ilikuwa ya nyumbani sio ya ofisini. We usingeniweza ningekubamiza mbali. Fahamu kuwa sie walimu wengine tunajua dhahma na tafrani zinazoweza kutokea shuleni muda wowote ikiwemo sisi kwa sisi kunyukana. Kwa hiyo muda wote tuko on alert ku deal na kitu chochote cha shari kitakochotokea
We ndiyo mpuuzi, Yaani mtoto adeki wakati mwalimu upo? Tena unalipwa? Mwanafunzi kazi yake ni kusoma sio kufanya usafi miundombinu ya shulewe mpuuzi nini? Yaani mi mwalimu nideki wakati wanafunzi wapo? Kazi za usafi wa mazingira ya shule hufanywa na wanafunzi na imezoeleka hivyo
Pale Sangu secondary,wameajiri watu wa usafi na wanafanya usafi Mazingira yote ya nje pamoja na vyoo.
Usafi darasani wanafanya wanafunzi...
Watu wa hostel walikuwa wanadeki weekend...katikati ya wiki watu wa day mnafanya..na sanasana ilikuwa kuokota karatasi tu kama zipo.
Njoo sasa shule zetu za serikali..
Mtoto anafanya usafi kuanzia hostel anakolala,,mazingira ya nje ya hostel,vyooni hostel,jikoni hostel,dining za hostel na upande wa madarasani mtoto adeki darasa,adeki ofisi za walimu,adeki chooni,bado ana eneo la kufagia kuuubwaa na kila siku lifagiliwe,
Kuna kazi za kufyeka vichaka,
Hapo bado ana tuta la mboga linamsubiri akamwagilie.
Binafsi simuungi mkono mwanafunzi kumgomea Mwalimu lakini kazi za usafi ziwe na kiasi.
Watoto wasifanyishwe kama punda.
Pia walimu wapunguze vipigo...
Sidhani kama mzazi anaweza kumvamia Mwalimu na kumpa kipigo kama ingekuwa mtoto ameadhibiwa kistaarabu kwa fimbo moja.
Walimu wanapiga mno watoto na adhabu kali mno.
Na kwa kuongezea, sisi watu wenye makomwe hatupendagi sana kufanya usafi sijui kudeki.Pale Sangu secondary,wameajiri watu wa usafi na wanafanya usafi Mazingira yote ya nje pamoja na vyoo.
Usafi darasani wanafanya wanafunzi...
Watu wa hostel walikuwa wanadeki weekend...katikati ya wiki watu wa day mnafanya..na sanasana ilikuwa kuokota karatasi tu kama zipo.
Njoo sasa shule zetu za serikali..
Mtoto anafanya usafi kuanzia hostel anakolala,,mazingira ya nje ya hostel,vyooni hostel,jikoni hostel,dining za hostel na upande wa madarasani mtoto adeki darasa,adeki ofisi za walimu,adeki chooni,bado ana eneo la kufagia kuuubwaa na kila siku lifagiliwe,
Kuna kazi za kufyeka vichaka,
Hapo bado ana tuta la mboga linamsubiri akamwagilie.
Binafsi simuungi mkono mwanafunzi kumgomea Mwalimu lakini kazi za usafi ziwe na kiasi.
Watoto wasifanyishwe kama punda.
Pia walimu wapunguze vipigo...
Sidhani kama mzazi anaweza kumvamia Mwalimu na kumpa kipigo kama ingekuwa mtoto ameadhibiwa kistaarabu kwa fimbo moja.
Walimu wanapiga mno watoto na adhabu kali mno.
Kwa kweli MkuuBaadhi ya walimu ni wapumbavu kupitiliza. Yeye kupiga watoto hovyo anaona fashion kumbe ujinga umemjaa.
Mimi wa kwangu nilishatoa onyo kwa mwalimu mkuu endapo mwanangu ataadhibiwa adhabu za kipumbavu zisizofuata utaratibu wa utoaji adhabu mashuleni aise nalala naye mbele kwa mbele.
Walimu ni wapumbavu sana, sijawahi kuona watu wapumbavu kama walimu.Kwa kweli Mkuu
Watoto wanageuzwa ng'ombe huko shuleni.
Mimi advanced level nimesoma serikalini yaani shule kama gerezani.
Yale mateso,vile vipigo,zile adhabu na zile kazi
Niliapa sitakuja mpeleka mtoto wangu akasome shule zenye ushenzi namna ile. Shule kama Loleza girls, Mbeya secondary na nyinginezo .
Hawa wazazi wa design ya huyu wangekuwa na watoto kwenye hizi shule wangetusaidia kukomesha walimu wanaojiona miungu watu.
Yaani kuna kumuadhibu mtoto ni kweli
Lakini si kwa kiasi kile wanachofanya walimu wa hizi shule.
Hii habari ni ya upande mmoja wa mwalimu mzazi hatujasikia. Lkn kwa kutumia akili ya kawaida ni ngumu mzazi kwenda kufanya fujo shuleni eti kisa mwanae kaadhibiwa fimbo Moja tu. Upande wa mwl wamedanganya, hapo huyo mtoto itakuwa alichakazwa kwa mafimbo yasiyokuwa na mpangilio.Mtoto wa darasa la 5 asiweze kujieleza vizuri huyo kzazi alikurupuka angefika shuleni aulize kilichotokea.
Basi walipwe, vinginevyo waalimu wafanye usafi eneo lao la kaziPathetic. Huyo mwanafunzi, Ni lini atajifunza kufanya usafi wa mazingira yake.
FaizaFoxy you must be living in a very dirty environment.
Walimu ni makatiri kuliko hata polisi sema hawajapewa mamlaka kama polisi. Lkn siku ikiwa virse vesa ndio mtawajua rangi zao halisi. Emergine mwl anaponda katoto kadogo ka darasa la kwanza mpaka kanajikojolea lkn haachi anaendelea kupiga huku akisema mpaka unye ndo ntakuacha.Kwa kweli Mkuu
Watoto wanageuzwa ng'ombe huko shuleni.
Mimi advanced level nimesoma serikalini yaani shule kama gerezani.
Yale mateso,vile vipigo,zile adhabu na zile kazi
Niliapa sitakuja mpeleka mtoto wangu akasome shule zenye ushenzi namna ile. Shule kama Loleza girls, Mbeya secondary na nyinginezo .
Hawa wazazi wa design ya huyu wangekuwa na watoto kwenye hizi shule wangetusaidia kukomesha walimu wanaojiona miungu watu.
Yaani kuna kumuadhibu mtoto ni kweli
Lakini si kwa kiasi kile wanachofanya walimu wa hizi shule.
Kweli waalimu ni 0 kichwani, unauliza mwanafunzi afanye nini? Haujui mwanafunzi yuko hapo kwa ajili ya kusoma? Mwanafunzi jukumu lake ni kusoma!Sio tu Ni mpuuzi, huyo mwanamke Ni punguwani au ana mtindio wa ubongo.
Anataka walimu wafanye usafi wanafunzi wafanye nini? Kule kwao Mbagala huyu FaizaFoxy shule Zina watoto elfu nne walimu sabini au themanini, shule haina mfanyakazi zaidi ya mlinzi na walimu.
Kumbe kweli Kuna watu wanafikiria kutumia matako. Nimeamini leo
[emoji1787]Walimu ni wapumbavu sana, sijawahi kuona watu wapumbavu kama walimu.
Yaani unauliza kwa akili ya kawaida? Umeshaenda hospitali ukakuta wagonjwa ndiyo wanafanya usafi? Acheni upuuzi, Wewe mwalimu hilo ni eneo lako la kazi, unatakiwa ufanyie usafi, Mwanafunzi kazi yake ni kusoma tu, Hiyo mitaala ya ziada iainishwe kwamba kwa kazi hizo za ziada malipo yafanyike kwa wanafunzi au makato yafanyike kwenye mishahara ya waalimu kwa kufanyiwa usafi na kazi zingine mnazoziita za ziada.Angenikuta mimi hakika angejuta huyo mama ningemung'oa taya right away, wazazi wabadilike, shule zinaendeshwa kwa utaratibu na kufuata sheria za nchi, mimi kumchapa mtoto naruhusiwa baada ya kupewa idhini na mkuu wa shule, ambapo viboko visizidi vitatu kwa kila kosa.
Pili wazazi watambue kuwa shule ni sehemu salama kwa mtoto kujifunza mitaala ya ziada,mfano kulima,kufanya usafi na kumfanya mtoto ajue mazingira ya kujitegemea,sasa chukulia mtoto nyumbani kazi zote zinafanywa na house girl ,je yeye atajua lini haya majukumu!?
Kingine naona baadhi ya member wanaraumu mtoto kufanyishwa usafi hasa huyu member FaizaFoxy na Islam005 sasa kwa akili ya kawaida mwalimu ndo afanye usafi mazingira ya shule!? Shule zetu za serikali zinajulikana ni supana mkononi,kama hutaki mtoto afanyishwe kazi peleka shule za kulipia kama feza.
Ujinga, anayelipwa mshahara ni mwanafunzi au mwalimu? Usifananishe mwanafunzi na kurutaKuna watu vichaa kumbe nchi hii eti KAZI ya usafi ni ya mwalimu khaa,
Huyo chalii namuombea mungu baadae katika pambana zake za maisha aangukie jkt atajua alifanya kosa kubwa Sana kutokutii amri ya kufanya usafi ya mwalimu
Mnaongea tu hapa ,hamjui mazingira magumu wanayokutana nayo waalimu huko mashuleni , wewe ukitukanwa na kujibiwa majibu ya kashfa na hata kushambuliwa physically na hao madogo washenzi wasio na adabu kutokana na malezi mabovu utakaa umeangalia tu na kupotezea si ndio ?Ningekuwa Mwalimu kamwe nisingejihusisha na adabu kwa mwanafunzi, hakika ningefundisha wanaotaka, wasiotaka shauri ya wazazi na wao
Mnalipia pesa za wafanyakazi wa kusafisha ?Hivi vyuoni wanadeki? Kwanini wanafunzi wadeki,vijijini wanalimishwa hadi mashamba ya shule na walimu
Umeongea point ✅Walimu achaneni na watoto wa watu , wewe angalia mshahara na kutimiza wajibu ! Ingia darasani piga pindi sahihisha madaftari yako hajafanya kazi zako ulizompa mwite ongea nae , kesho likirudiwa tena kosa msipigane mafimbo , wewe sahihisha daftari zitakazokuja tu nnachoamini darasa zima kuna watu wanajituma , kuna wasiojituma na wavivu !! Hii inachangiwa pia na malezi nyumbani kwao ! Wewe hakuna unachoweza kurekebisha hapo zama zimebadilika Deal na wanaojituma na anayetaka tu kuelekezwa ! Imeisha hiyo
Serikali haitakufukuza kazi kwa ajili ya wanafunzi kufeli au kuwa na tabia mbaya zaidi tu utahamishwa au kupigwa beat, lakini ukimpiga mtoto akavimba hata mkuu wako atakukana utaenda jela au utaishia kufukuzwa kazi , na kudhalilika !
Malezi ni triangle,inaanza na Wazazi au Walezi kisha Mwalimu na Mtoto mwenyewe ! Ikitokea mmoja ameacha wajibu wake mzigo utakua mzito kwa waliobaki !
Pole mwalimu kwa ngumi.
Akili matopeMwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.