Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,228
- 1,157
Acha kukashi dini wewe sasa hapo uislam unahusikajeWaislam hao... usafi anaojua ni kuchezea mavi yake kwenye kuchamba no wonder jamii zao zina vipindu pindu balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kukashi dini wewe sasa hapo uislam unahusikajeWaislam hao... usafi anaojua ni kuchezea mavi yake kwenye kuchamba no wonder jamii zao zina vipindu pindu balaa.
Sijui tunawafundisha Nini watoto wetu wa kizazi Cha sasa, kudeki na kazi mbalimbali Mtoto awapo shuleni ni jambo la kawaida . Sasa wanaosema walimu wafanye usafi wa kudeki na kusafisha vyoo vya wanafunzi kweli ni sahihi? Kama wazazi wamefika mahali hawataki watoto wafanye kazi shuleni waajiri wafanyakazi wa kudeki madarasa ya watoto wao Kwa kuhakikisha wanawalipa.Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Kayumba ni sawawe mpuuzi nini? Yaani mi mwalimu nideki wakati wanafunzi wapo? Kazi za usafi wa mazingira ya shule hufanywa na wanafunzi na imezoeleka hivyo
😂😂😂😂 enhe jamani.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Sehemu nyingi tuNitajie sehemu ambayo haijawahi kupata kipindupindu
Nendeni nyie wazazi muwadekie watoto wenu madarasa.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Naunga mkono hoja.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Forest Hill?Patel RIP hakuna kufagia wala nini ni darasani ukifika,assembly jumatatu na alhamisi. Marufuku kuokota kungu ukikamatwa utalipa 5000 km faini kwa kungu moja. Aliepusha .mambo haya ya kuja na vibwebwe shuleni.
Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Huenda hazimtoshi ama huyo mzazi na mwalimu ni majirani hivyo wana bifu za kitaani kwao.Sio tu Ni mpuuzi, huyo mwanamke Ni punguwani au ana mtindio wa ubongo.
Anataka walimu wafanye usafi wanafunzi wafanye nini? Kule kwao Mbagala huyu FaizaFoxy shule Zina watoto elfu nne walimu sabini au themanini, shule haina mfanyakazi zaidi ya mlinzi na walimu.
Kumbe kweli Kuna watu wanafikiria kutumia matako. Nimeamini leo
.atajifunza kwao.Pathetic. Huyo mwanafunzi, Ni lini atajifunza kufanya usafi wa mazingira yake.
FaizaFoxy you must be living in a very dirty environment.
Huyu mama achekiwe afya ya akili!Hilo tuu!Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo Kupelekea kutoka damu puani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni mwalimu huyo kumchapa mwanafunzi huyo wa darasa la tano fimbo moja kwa kosa la kukataa kudeki darasa.
Mtoto huyo alienda kusema kwa mamake huku akilia ndipo mzazi huyo alipochukua jukumu la kwenda hadi shuleni na kumpiga mwalimu huyo na kumjeruhi.
Aidha mwenyekiti wa kijiji hicho Bwana Ismael Urassa pamoja na diwani wa kata hiyo wamethibisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa tukio hilo limefika ofisi ya kata na linashughukiwa.
Hata wewe una-support upumbavu? Hujui kama shule watoto wanapaswa wajifunze kila kitu kasoro tabia mbaya?Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787]Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.