Iwensanto
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 1,228
- 1,157
Acha kutoa mifano isiyokuwa na tijaMagufuli alizoa taka siku chache tu baada ya kupata ursis na kipindupindu kikakoma tz ...walimu wawe kielelezo kwa wanafunzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutoa mifano isiyokuwa na tijaMagufuli alizoa taka siku chache tu baada ya kupata ursis na kipindupindu kikakoma tz ...walimu wawe kielelezo kwa wanafunzi
Mgonjwa yuko pale kwa ajili ya kutibiwa, Mwanafunzi yuko pale kwa ajili ya kupata elimu, vivyo hivyo anayeenda benki anaenda kwa masuala yake ya fedha, anayeenda uwanjani anakwenda kutazama mpira n.k hayo mengine yanapaswa kufanywa na wahusika wa eneo la kaziSasa mgonjwa unamlinganisha na mwanafunzi!?
Kabisa aseee imekua too much!!Alimkuta mzembemzembe....tungegawana majengo au tungeenda jengo moja
Kwani walimu ni nani mbona wazazi majumbani wanafanya kazi za usafi ...walimu wa kike wadeki wakiume wakate michongoma na kuchimba shimo za takaAcha kutoa mifano isiyokuwa na tija
You can't be serious weeee!!Mgonjwa yuko pale kwa ajili ya kutibiwa, Mwanafunzi yuko pale kwa ajili ya kupata elimu, vivyo hivyo anayeenda benki anaenda kwa masuala yake ya fedha, anayeenda uwanjani anakwenda kutazama mpira n.k hayo mengine yanapaswa kufanywa na wahusika wa eneo la kazi
Wewe usituletee mambo Yako ya kikoloni hapa, hicho kizazi chako kimelisaidia Nini taifa hili?? Kizazi chako ndio kizazi cho hovyo kilicholiingiza taifa kwenye umaskini wa kutupwa! Kizazi Cha kinafiki tumbo mbele.Mnaongea tu hapa ,hamjui mazingira magumu wanayokutana nayo waalimu huko mashuleni , wewe ukitukanwa na kujibiwa majibu ya kashfa na hata kushambuliwa physically na hao madogo washenzi wasio na adabu kutokana na malezi mabovu utakaa umeangalia tu na kupotezea si ndio ?
Mnalea kizazi cha kishenzi sana ,na ndio maana hata kizazi kimekuwa cha ovyo na elimu imeshuka sana ,mnazalisha jamii ya watu bogus na washenzi wasiokuwa na adabu wala nidhamu na maadili katika jamii
Haipogo hio!Kwani walimu ni nani mbona wazazi majumbani wanafanya kazi za usafi ...walimu wa kike wadeki wakiume wakate michongoma na kuchimba shimo za taka
Mimi nilipita pale binti kiziwiForest Hill?
Mimi pia japo nilihamia kwa mwaka mmoja nikahama.Mimi nilipita pale binti kiziwi
Shangaa!Sasa mgonjwa unamlinganisha na mwanafunzi!?
Bhangi ni janga la TaifaMwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Advance pale nimemaliza, ulienda wapi miye kutofagia darasa na nje nilipenda.Mimi pia japo nilihamia kwa mwaka mmoja nikahama.
Ukute huyu naye anajiita mzazi.Mwanafunzi kudeki shule kwani yeye analipwa na serikali hizi kazi za kudeki walimu ndio wafanye wao.
Lkn mwalimu kufanya kazi ya usafi wakati mwanafunzi yupo hiyo naona sio sawa! Tutakua hatujawatendea haki walimu wetu, kikubwa ninachokiona kazi ziwe na kipimo, kazi ziwe za kumfundisha/kumjenga mtoto na sio kumkomoa.Kwani walimu ni nani mbona wazazi majumbani wanafanya kazi za usafi ...walimu wa kike wadeki wakiume wakate michongoma na kuchimba shimo za taka
Mkuu usijisumbue. Hapa JF kisanga kikifanywa na Mchagga au inshu ikitokea MOSHI hakyani usijaribu kuiponda utashambuliwa mpaka ukome, wanajikuta kwamba hata Upumbavu wanaoufanya wanataka uungwe mkono tuuuMnaongea tu hapa ,hamjui mazingira magumu wanayokutana nayo waalimu huko mashuleni , wewe ukitukanwa na kujibiwa majibu ya kashfa na hata kushambuliwa physically na hao madogo washenzi wasio na adabu kutokana na malezi mabovu utakaa umeangalia tu na kupotezea si ndio ?
Mnalea kizazi cha kishenzi sana ,na ndio maana hata kizazi kimekuwa cha ovyo na elimu imeshuka sana ,mnazalisha jamii ya watu bogus na washenzi wasiokuwa na adabu wala nidhamu na maadili katika jamii
Kwa hiyo adeki nani?.Hii nchi tuna watu wa hovyo sana, sasa mtoto akiwa shule si ajifunze shughuli za mikono ili baadaye aweze kujitegemea?!!.Tatizo tunaiga Uzungu mwingi na kumbe uhalisia wenyewe wa maisha yetu haupo hivyo ndio sababu litoto linamaliza shule bila kujua kazi yeyote,kiufupi linakuwa ni USELESS.Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.
Wanasema walimu hawajitambui ingali nao ndiyo walikopitia...kuna muda wakija juu inabidi kuwaonyesha kuwa tunajitambua.mxiewKabisa aseee imekua too much!!
Unakuta mzazi mwingine anakuja shule anakufosi umsikilize muda huohuo anotaka yeye anakwambia unamchekewesha ana shughuli za kufanya!😁😁😁!
Kmamakeee usintafutie matatizo rudi kafanye hizo shughuli zako shenztypeee!!
Huyu ni mtu mzima lkn mawazo yake yanasikitisha sana.Kumbe ulitaka Nani afanye usafi shuleni?
Kwa akili yako iliyochoka unataka walimu wanaolipwa $200 wakadeki vyoo vya wanafunzi?
Wake up young lady .
Kumbe yule baba alifariki doh!!Forest Hill?
It was all about self reliance lesson. Lini huyo mtoto atajua kufanya usafi wa mazingira anayo ishi Kama hamtaki afunzwe shuleni au nyumbani?Inahusu nini mwanafunzi kudeki shule?
Bado tupo kijinga sana, akili za kitumwa.