Hospital kwani wagonjwa wanadeki?Mtumishi gani halipwi??
Manesi/ madaktari wenyewe ukizingua unakula matusi hadi ukoo wenu Walimu ninani??
Acheni kuonea walimu aseeh!
Mkangwa au Mananga, hata mimi enzi hizo hizo, Matroni mama Mushi, Stephano, Makuru , Hamisi, Fumbili. Ndiyo walimu wa hostel hao.Mi Zamani sana kipindi Hostel inachukua wasichana na wa Olevo sio wa Advance tu!
Enzi za Mkangwa!
Hapa kuna taarifa zimekosekana tu huyo mwalimu alimuumiza dogo.Wanasema walimu hawajitambui ingali nao ndiyo walikopitia...kuna muda wakija juu inabidi kuwaonyesha kuwa tunajitambua.mxiew
Wawapeleke private huko hata private kwenyewe kuna ambazo watoto wanafanya kazi vilevile!Hospital kwani wagonjwa wanadeki?
Nyie dekini bana πππ
Watoto wetu wamekuja kusoma sio kudeki
Patel alikufa maskini ila itakuwa corona!Yah nadhani alifariki kwa Corona. Ila Moro sec ilikuwa na madada du sio poa.
ππππ Mwalimu wa math mbona mkali hivo??!Wawapeleke private huko hata private kwenyewe kuna ambazo watoto wanafanya kazi vilevile!
NimekusomaMkuu usijisumbue. Hapa JF kisanga kikifanywa na Mchagga au inshu ikitokea MOSHI hakyani usijaribu kuiponda utashambuliwa mpaka ukome, wanajikuta kwamba hata Upumbavu wanaoufanya wanataka uungwe mkono tuuu
Watoto wa kihindi bwana walikuwa hawagusi chakula cha shule, wao ni canteen tu mwendo wa chips vyuku.Patel alikufa maskini ila itakuwa corona!
Kulikuwa na kamchumba kangu ka kihindi kanaitwa Yassin Forest π€£π€£π€£π€£
Nimepamiss ze club bwalo
Mwl Hamisi alikua na mdomo yule mama zamu yake akiamua kutuchamba wasichana πππ!Mkangwa au Mananga, hata mimi enzi hizo hizo, Matroni mama Mushi, Stephano, Makuru , Hamisi, Fumbili. Ndiyo walimu wa hostel hao.
Ile shule ilikuwa bomba sana!! Vipi hukufanikiwa kuibuka hata na muhindi mmoja? πππPatel RIP hakuna kufagia wala nini ni darasani ukifika,assembly jumatatu na alhamisi. Marufuku kuokota kungu ukikamatwa utalipa 5000 km faini kwa kungu moja. Aliepusha .mambo haya ya kuja na vibwebwe shuleni.
Mzee tukubali tukatae malezi ya watoto siku hizi hayapewi kipaumbele.Ac
Achaneni na mambo ya enzi zetu enzi zetu! Dunia imebadilika pakubwa sana kuanzia kiuchumi, kielimu, kisiasa na Kila kitu. Sasa hivi hata watoto wenyewe afya zao sio nzuri maladhi kibao, unachapa mtoto fimbo tano tu anakua hoi hawezi hata kunyanyuka tofauti na watoto wa miaka yetu hiyo, tulikua imara kweli kweli.
Sasa we endelea kusema enzi hizo siku ukiua mtoto wa mtu ndio utajua kwamba kweli Dunia imebadilika.
Mi wangu alikua anakaa Maeneo ya karibu na shule yenu Basi jioni lazima aje Maeneo ya Hostel Morosec alikua ananiletea chakula cha nyumbani kwao mara moja moja!!π€ π€Watoto wa kihindi bwana walikuwa hawagusi chakula cha shule, wao ni canteen tu mwendo wa chips vyuku.
Wangu alikuwa anaitwa Abraham, wanatamka "Abrahami" π€£ sijui hata yuko wapi siku hizi
Kwani jf ni ya wachaga?? We vipi bana!! Humu Kuna watu wa Kila Kanda na hapa wazazi wanatoa maoni na hisia zao, sasa ukianza kutuletea mambo ya ukabira hapa unajivua nguo.Mkuu usijisumbue. Hapa JF kisanga kikifanywa na Mchagga au inshu ikitokea MOSHI hakyani usijaribu kuiponda utashambuliwa mpaka ukome, wanajikuta kwamba hata Upumbavu wanaoufanya wanataka uungwe mkono tuuu
Kwahiyo hoja yako ni kwamba inatakiwa walimu wawafanye watakavyo wanafunzi kwa kuogopa kupewa taarifa za watoto wetu wawapo shuleni.??Una point, lkn mzazi naye ana mdomo, angeweza kuongea na walimu sio kuchukua Sheria mkononi.
Unafikiri mtoto atakua anajisikiaje akijua walimu hawatamuadhibu Tena.
Unafikiri Kuna mwalimu hapo shuleni atashughulika na huyo mtoto?
Yuko mzazi mmoja Dar alikwenda shuleni kwa lengo la kumpiga mwalimu lkn walimu wanamtetea mwenzao na kumuambia huyo mzazi, kuanzia leo hatuta shughulika na huyo mtoto wako hata akiumwa hakuna atakaye kupigia simu.
Mzazi alidhani Ni utani.
Me wangu Yassin alikuwa anachukua hela dukani kwao anakuja kunihonga, kuna siku alichukua simu mpya dukani kaja kunihonga πππWatoto wa kihindi bwana walikuwa hawagusi chakula cha shule, wao ni canteen tu mwendo wa chips vyuku.
Wangu alikuwa anaitwa Abraham, wanatamka "Abrahami" π€£ sijui hata yuko wapi siku hizi
Wanapenda sana pisi za kiafrica, ni vile tu kwao hawaruhusiwi. Wangepewa uhuru wale wa kuoa, dada zao wangejua hawajui.Mi wangu alikua anakaa Maeneo ya karibu na shule yenu Basi jioni lazima aje Maeneo ya Hostel Morosec alikua ananiletea chakula cha nyumbani kwao mara moja moja!!π€ π€
Hamisi alifariki kitambo, Fumbili yule kijana wake Peter alifariki pia km unamjua. Hamisi alizaq na Sms musoma nae pia alifariki.Stephano yupo Dar kuna siku nipo pale chang'ombe natoka kuzulura nikakutana nae nikamsalimia tukapiga stori kidogo tukaachana kizungu.Mwl Hamisi alikua na mdomo yule mama zamu yake akiamua kutuchamba wasichana πππ!
" Mnapanuapanua chini mmeshakua makopo tu anamalizia na msonyo ptyuuuuuuπ€ π€ π€ !"
Yeah Mfumbili alikua mpole sana
Kuna mwingine alipataga shida ya akili alikua anafundisha French alikua anaitwa Bandima...
Morosec muda sana lol!!
Nilitaka nikutag kumbe ushafika πππWalimu Hawana akili tu