Msidandie thread fungueni ya kwenuPatel alikufa maskini ila itakuwa corona!
Kulikuwa na kamchumba kangu ka kihindi kanaitwa Yassin Forest [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimepamiss ze club na bwalo
Shida ni kumpiga sehemu tofauti na fimbo zisizohesabika ila ambazo zinaeza leta madhara mabaya!ππππ Mwalimu wa math mbona mkali hivo??!
Kwa hiyo adeki nani?.Hii nchi tuna watu wa hovyo sana, sasa mtoto akiwa shule si ajifunze shughuli za mikono ili baadaye aweze kujitegemea?!!.Tatizo tunaiga Uzungu mwingi na kumbe uhalisia wenyewe wa maisha yetu haupo hivyo ndio sababu litoto linamaliza shule bila kujua kazi yeyote,kiufupi linakuwa ni USELESS.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Miye nilisoma na watoto wa kishua hatare wakipqki na prado yao ya baba zao miye sina time nilikuwa nakuja na Hiace ya Omary yule. Asubuh na mchana km watoto wa yellow busIle shule ilikuwa bomba sana!! Vipi hukufanikiwa kuibuka hata na muhindi mmoja? πππ
πππ ila wahindi wajingaMi wangu alikua anakaa Maeneo ya karibu na shule yenu Basi jioni lazima aje Maeneo ya Hostel Morosec alikua ananiletea chakula cha nyumbani kwao mara moja moja!!π€ π€
ππππ ulikuwa unakaa sabasaba au chamwino?Miye nilisoma na watoto wa kishua hatare wakipqki na prado yao ya baba zao miye sina time nilikuwa nakuja na Hiace ya Omary yule. Asubuh na mchana km watoto wa yellow bus
Ukabila siyo ukabiraKwani jf ni ya wachaga?? We vipi bana!! Humu Kuna watu wa Kila Kanda na hapa wazazi wanatoa maoni na hisia zao, sasa ukianza kutuletea mambo ya ukabira hapa unajivua nguo.
Tunasoma kwa vitisho vya fimbo ndio maana elimu bongo haisaidiiUsikute Wala sio fimbo moja.Wacha wapigwe maana walimu wamezidisha.
Kwani malezi gani wewe unayoyataka hasa?? Kwani bila bakora za kuua mtoto haleleki? Usipende kumzoesha mtoto mibakora hata kwa makosa madogo madogo ya kumuelekeza, mnawatengenezea watoto usugu!Mzee tukubali tukatae malezi ya watoto siku hizi hayapewi kipaumbele.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Wapumzike kwa amani jamani!Hamisi alifariki kitambo, Fumbili yule kijana wake Peter alifariki pia km unamjua. Hamisi alizaq na Sms musoma nae pia alifariki.Stephano yupo Dar kuna siku nipo pale chang'ombe natoka kuzulura nikakutana nae nikamsalimia tukapiga stori kidogo tukaachana kizungu.
Point sana hiiKarma is a bitch. Huyo mtoto Hana muda mrefu atakua mgeni wa serikali Kama sio kisongo Basi Ni karanga. Huko ndio kwa wenzake wanaoendana naye.
7/7 streets enzi hizo.ππππ ulikuwa unakaa sabasaba au chamwino?
ππππ kuna watoto watukutu nao wanazipanga mdundane na ukiangalia body lake la mazoezi, unaweza kutoka ndukiShida ni kumpiga sehemu tofauti na fimbo zisizohesabika ila ambazo zinaeza leta madhara mabaya!
Kuna mitoto inakera nyiee acheni tu!
Sasa kuna hawa vijana walimu waliopita JKT alooo wanakimbizana nao balaaaππ πππ!
7/7 streets enzi hizo karibu na zile kota za Tangi bovu..ππππ ulikuwa unakaa sabasaba au chamwino?
Hoja imekufikia lknUkabila siyo ukabira
Kumbe nimepatia πππ7/7 streets enzi hizo.
π€ π€ π€ π!ππππ kuna watoto watukutu nao wanazipanga mdundane na ukiangalia body lake la mazoezi, unaweza kutoka nduki