Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

😂😂😂😂 Mwalimu wa math mbona mkali hivo??!
Shida ni kumpiga sehemu tofauti na fimbo zisizohesabika ila ambazo zinaeza leta madhara mabaya!

Kuna mitoto inakera nyiee acheni tu!

Sasa kuna hawa vijana walimu waliopita JKT alooo wanakimbizana nao balaaa🙌🙌 😁😁😁!
 
Kwa hiyo adeki nani?.Hii nchi tuna watu wa hovyo sana, sasa mtoto akiwa shule si ajifunze shughuli za mikono ili baadaye aweze kujitegemea?!!.Tatizo tunaiga Uzungu mwingi na kumbe uhalisia wenyewe wa maisha yetu haupo hivyo ndio sababu litoto linamaliza shule bila kujua kazi yeyote,kiufupi linakuwa ni USELESS.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app

Ndio maana wanapeleka watoto shule zao hizo zenye mpaka watu wa kuwapandisha watoto kwenye magari wasipate shida.

Toto linakuwa kama andazi,papai si papai,kama kuku la kisasa[emoji16][emoji16][emoji16].
 
Ile shule ilikuwa bomba sana!! Vipi hukufanikiwa kuibuka hata na muhindi mmoja? 😂😂😂
Miye nilisoma na watoto wa kishua hatare wakipqki na prado yao ya baba zao miye sina time nilikuwa nakuja na Hiace ya Omary yule. Asubuh na mchana km watoto wa yellow bus
 
Mi wangu alikua anakaa Maeneo ya karibu na shule yenu Basi jioni lazima aje Maeneo ya Hostel Morosec alikua ananiletea chakula cha nyumbani kwao mara moja moja!!🤠🤠
😂😂😂 ila wahindi wajinga
Sema nilikuwa nawapenda sio wabahili!!
Alikuwa ananipa pesa shopping naenda mambaz shop au classic near na Nmb bank
 
Miye nilisoma na watoto wa kishua hatare wakipqki na prado yao ya baba zao miye sina time nilikuwa nakuja na Hiace ya Omary yule. Asubuh na mchana km watoto wa yellow bus
😂😂😂😂 ulikuwa unakaa sabasaba au chamwino?
 
Nimesoma maoni ya wanajamii forums,nihitimishe tu kwa kifupi kuwa hadhi ya JF imeshuka na i taabani!
 
Mzee tukubali tukatae malezi ya watoto siku hizi hayapewi kipaumbele.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kwani malezi gani wewe unayoyataka hasa?? Kwani bila bakora za kuua mtoto haleleki? Usipende kumzoesha mtoto mibakora hata kwa makosa madogo madogo ya kumuelekeza, mnawatengenezea watoto usugu!

Bakora sio malezi lkn bakora inahitajika kwenye malezi, sasa hapo changanua vzr
 
Hamisi alifariki kitambo, Fumbili yule kijana wake Peter alifariki pia km unamjua. Hamisi alizaq na Sms musoma nae pia alifariki.Stephano yupo Dar kuna siku nipo pale chang'ombe natoka kuzulura nikakutana nae nikamsalimia tukapiga stori kidogo tukaachana kizungu.
Wapumzike kwa amani jamani!

Sikuhizi Hostel ni Advance tu???

Mi sijawahi kukutana nao!

HM kipindi hiko nae atakua alishastaafu kuna kipindi nilisikia alikua Afisa Elimu Iringa huko badae akaugua sijajua kama bado yupo hai au la!
 
Huyo mzazi utashangaa hachukuliwi hatua yoyote ile.

Maana huko huko Hai jambazi kama Sabaya mahakama imeliachia lidunde tu mtaani unatarajia nini.
 
Shida ni kumpiga sehemu tofauti na fimbo zisizohesabika ila ambazo zinaeza leta madhara mabaya!

Kuna mitoto inakera nyiee acheni tu!

Sasa kuna hawa vijana walimu waliopita JKT alooo wanakimbizana nao balaaa🙌🙌 😁😁😁!
😂😂😂😂 kuna watoto watukutu nao wanazipanga mdundane na ukiangalia body lake la mazoezi, unaweza kutoka nduki
 
Back
Top Bottom