Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Moshi: Mzazi ampiga na kumjeruhi mwalimu shuleni kwa kosa la kumuadhibu mwanae

Dah kitambo sana!!
Sisi tukiwa Olevo Hostel tulikua na Crew ya madada wa Advance ni wadeadly balaaa!

Weekend usiku wanatoroka wanaenda Club Morogoro Hotel kikinuka tunawapigia simu kuwajulisha namie nilikua chawa wao😁!
Kwenye Joint Mass Wasichana wa Morosec tulikua tunacompete na Kilakala kugombania boys wa Mzumbe😁!

Morosec mashauziiiii Kilakala wapolee wametulia ilikua hekaheka balaa!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Na boys wa Mzumbe sec wamewatafuna sana wadada wa Kilakala na Moro sec!
Sisi wa Forest tulikuwa mashauzi mengi tunadeal na wahindi na wanachuo wa MU na SUA πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Udugu tuziache hizi story watu wataconnect dot wanijue bure
 
Niliondoka kitambo toka 2000 huko, nilipokuja Dar chuo, ila naenda mara kwa mara sababu ni home, maza na tumesettle pale. Hivi unakumbuka kipindi kile Jamhuri ilikuwa hostel duuuh ilikuwa balaa.
Uliondoka 2000?!
Basi wewe kumbe bro
Miaka hiyo mi bado sijaingia Forest πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sio kuwapanda kichwani, fateni miongozo ya utoaji adhabu kwa watoto, mambo ya kupiga mtoto kama unapiga gaidi !

Yeah hapo ndio kunapoleta shida! Kupiga kichwani na sehemu nyingine !!

Mi mwenyewe mzaziii uchungu naujua vizuri sana mbona!
Juzi mwalimu kanipigia simu mwanao mkorofiiii anapiga watoto wenzie anawapokonya sijui vitu gani anavitupa mara juzi kamsukuma mwenzie hadi jino lilitaka kutoka ananiambia imekua too much namchapa mwili ukasisimkaaa🀠🀠

Nikaumiaa nikamtetea hapana usimchape sana mwalimu hao ni watoto wadogo ukute wanakua kwenye kucheza tu hawaelewi muelekeze taratibuu kesho alivoenda shule ndani nikamvalisha ki jeans kigumu πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚!
Namwambia mwl akikuchapa jikaze usilie !

Lamomy Jr shule ni mkorofi balaa
 
Ulikuwa unayaweza kaka TO πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wenzio bata batani hatujali wala nini!!
Sema ningeendelea kusoma Forest ningekua tapeli mcharuko sana!!!
Mana nilikuwa na pilika pilika na wahindi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
T wapi ndugu umaskini ndiyo ulinifanya nikitulize, maana sikutaka nitakaowaleta wapande Hiace teena.
 
Yeah hapo ndio kunapoleta shida!

Mi mwenyewe mzaziii uchungu naujua vizuri sana mbona!
Juzi mwalimu kanipigia simu mwanao mkorofiiii anapiga watoto wenzie anawapokonya sijui vitu gani anavitupa mara juzi kamsukuma mwenzie hadi jino lilitaka kutoka ananiambia imekua too much namchapa mwili ukasisimkaaa🀠🀠

Nikaumiaa nikamtetea hapana usimchape sana mwalimu hao ni watoto ukute wanakua kwenye kucheza tu muelekeze taratibuu kesho alivoenda shule ndani nikamvalisha ki jeans kigumu πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚!
Namwambi mwl akikuchapa jikaze usilie

Lamomy Jr shule ni mkorofi balaa
Why anakuwa mkorofi hivo??
Mbona baba yake anasemaga β€œMambo yao waachie wenyewe” kwann asiige tabia za mshua wake Jr lakini?!!!
Baba ake mpole hata wampopoe yeye hajali maneno yake, β€œBinadamu wa siku hizi tatizo wabishi” πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hebu mwambie aige Miongozo ya baba yake!!!
Jr mbona mkorofi jamani
 
T wapi ndugu umaskini ndiyo ulinifanya nikitulize, maana sikutaka nitakaowaleta wapande Hiace teena.
Sie wengine mitihani kupata namba za viatu sio shida zetu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na weekend hutukosi mambo club au gronecy 🀣🀣🀣
 
Antonia siku ukimzabua mwanangu azabu yako nakutandika HOGO LA PAPUCHI
Mi hata nina muda wa kuparangana na wanafunzi sasa!! Tena hawa watoto wa mamaπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜πŸ˜πŸ˜!

Mi nawapiga makwenzi na kuwafinya masikio na fimbo mbiltatu tu staki kujichosha!🀠🀠😁!
 
Back
Top Bottom