EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hapa umepotoka parefu saana tembelea moro halafu urudi tena kukomentiMorogoro yenyewe haiingii kwa Moshi, huko kwenu bukoba ndo takataka kabisa, Bukoba haiwez kushindana hata na Boma ng'ombe
Weka za Kahama, za Moshi zishawekwa usitoe mapovu..Wewe zako za kijiji cha moshi ziko wapi? Badala ya kuleta picha za moshi mnaleta picha za Mwanza mix na za arusha.
Angalia hapo alafu fananisha na kikahama chako.. Hadi Mwanza inakimbizwa kwa kuchangia kodi kubwa.. Una lingine??Wewe nakuona una utindio wa ubongo, kilimanjaro ni kati ya mikoa ya Mwisho kabisa kwa ukusanyaji wa mapato leo hii unatuletea utumbo hapa.
Naona ulipata demu wa kichaga akakupiga za kichwa unakuja kutolea hasira zako uku wachaga ndyo wameendeleza maeneo mengi kwenye hii nchii wamewaletea maduka Hadi uko kijijini kwenu punguza makasiriko tafuta pesaNi Manispaa ya ajabu sana ukitembea mita 500 kutoka katikati ya mji unakutana na mashamba ya mahindi. Nyumba zimechanganyikana na mashamba
Iendelee tu kuwa Manispaa haifai kuwa jiji inapitwa mpaka na Kahama
Sisi tunatumia intensive agriculture. Kilimanjaro Eneo dogo high technology then chakula kingi. Ninyi mnalima ekari 5 za maharage unavuna debe 1 tu.Haya mangi so unataka kusema zile mita 10 ulizolima chakula ndio kinakutoshereza tembea uone watu wanavyolimq achana na uchafu wenu wa moshi
Au nitume mapato ya TRA hapa, acheni kulishana matango pori.Una uhakika mkuu??
Mimi najua Dar na Mwanza ndio wanaongoza nyie endeleeni kupambana na mikoa ya size yenu.Angalia hapo alafu fananisha na kikahama chako.. Hadi Mwanza inakimbizwa kwa kuchangia kodi kubwa.. Una lingine??
View attachment 2220764
CBD ya kahama uwezi kulinganisha na pori la mahindi.Weka za Kahama, za Moshi zishawekwa usitoe mapovu..
Kwani kahama watu wameshaanza kujenga vyoo?CBD ya kahama uwezi kulinganisha na pori la mahindi.
Nimekuwekea excel inayotoka TRA hapo.. Wewe kama unayo ilete hapa tuoneAu nitume mapato ya TRA hapa, acheni kulishana matango pori.
Kama ulivyosema, wewe unavyojua ila sio hali halisi ilivyo.. Hali halisi ndio hiyo hapoMimi najua Dar na Mwanza ndio wanaongoza nyie endeleeni kupambana na mikoa ya size yenu.
Tuletee picha ngosha usilete maneno matupuCBD ya kahama uwezi kulinganisha na pori la mahindi.
Hiki kijiwe cha wauza mbege na mlanzi hakiwezi kuwa jiji labda kijiji cha kuchakatia ndizi kuwa pombe.View attachment 2221070Asante mama ulisema ukweli
heeeee heHiki kijiwe cha wauza mbege na mlanzi hakiwezi kuwa jiji labda kijiji cha kuchakatia ndizi kuwa pombe.
wadudu hawapaswi kuishi mjini ?Nani kasema jangwa?
Ushaona jiji gani katikati ya jiji kuna mashamba ya mahindi?
Moja uchafu
Mbili makazi ya wezi
Tatu makazi ya wadudu na wanyama
Ndo huko huko mkuu. Nenda vijiji vya iringa huko ndo au mtwara ndo utajua kwann nasema haya tembea uone mkuuMoshi vijijini[emoji1787][emoji1787]View attachment 2220483View attachment 2220484View attachment 2220485View attachment 2220486