Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Bora ata wana lima mahindi japo wana nikwaza kila nyumba ina makaburi ...uki sogea pale Arusha kuna hadi migomba ya ndizi kati kati ya jiji.....full mashamba ya ndizi
 
Naona ulipata demu wa kichaga akakupiga za kichwa unakuja kutolea hasira zako uku wachaga ndyo wameendeleza maeneo mengi kwenye hii nchii wamewaletea maduka Hadi uko kijijini kwenu punguza makasiriko tafuta pesa
We nawe. Mbona huku kwetu sijaona mchagga
 
Bora ata wana lima mahindi japo wana nikwaza kila nyumba ina makaburi ...uki sogea pale Arusha kuna hadi migomba ya ndizi kati kati ya jiji.....full mashamba ya ndizi
Wanaweka makaburi adi milangoni sijui huwa ni ya kutambika.
 
Sisi kama halmashauri ya manispaa kubwa ya kahama tusema tutapata hadhi ya jiji kabla yenu nyinyi wanywa mbege.
Hmmm, hamjawahi hata kufikiriwa, tulianza kuwa Manispaa kabla yenu na tutakuwa jiji kabla yenu
 
Data za TRA zinakusaidia nini wewe mlevi wa moshi.
Acha kujitakasa na kujiona wewe mtakatifu sana, kila mtu ni mdhambi

Halafu hicho ulichotaja kinahusiana nini na mada? Staarabika, jenga hoja, acha kutokwa na maneno tu kama shangingi

Nawakubali sana Mangosha lakini naona wewe unataka kunitengenezea picha mpya, mtu Kanda ya Ziwa unakuwaje na mipasho?
 
Acha kujitakasa na kujiona wewe mtakatifu sana, kila mtu ni mdhambi

Halafu hicho ulichotaja kinahusiana nini na mada? Staarabika, jenga hoja, acha kutokwa na maneno tu kama shangingi

Nawakubali sana Mangosha lakini naona wewe unataka kunitengenezea picha mpya, mtu Kanda ya Ziwa unakuwaje na mipasho?
Kiongozi usije ukachukulia kila kitu humu ni serious shauri yako😂😂😂
 
Back
Top Bottom