Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Nasubiri wana moshi waje kukubishia 😁

Mji wa kahama una

1 Barick gold mining
2 Bulyanhulu Gold mining
3 kiwanda kikubwa cha maji kipo njiani kufunguliwa
4 kiwanda cha bati
5 vituo vya mafuta vingi na vya kisasa
6 BANK OF AFRIKA
7 DTB
8 NBC
9 CRDB
10 TPB
11 NMB
12 Elution
13 N.K

Watuwekee na MOSHI, wana nini cha kujivunia!!!
Naanza👇🏽
1 Watengenezaji wa Pombe aina ya Mbege
2.???
Kumbe hata haujui picha ulizowekewa ni za wapi? Ulidhani za Kahama? Poor you. Unapoteza nguvu nyingi kwenye ujinga.
 
Ila wapare wanatumia fursa vichaka kujisaidia wabahili mpaka kujenga vyoo

Joke tu🤣🤣🤣
 
Wewe nakuona una utindio wa ubongo, kilimanjaro ni kati ya mikoa ya Mwisho kabisa kwa ukusanyaji wa mapato leo hii unatuletea utumbo hapa.
Kutoka TRA mkoa wa Kilimanjaro ni wa tatu baada ya Dar na Arusha kwa makusanyo ya kodi..
 
Kiwanda kikubwa cha maji kiko njiani kufunguliwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kahama is a glorified village my friend and no body cares whether it's a town or municipal...
Human development index in kilimanjaro region is 0.631 ...this alone speaks volume
Moshi vijijini...

Sema mnabebwa sana nyumba ya udongo lakin ina umeme..viongozi wenu wanawajali
Screenshot%20(20220323-223627).jpg
View attachment 2220665
Screenshot%20(20220323-225353).jpg
 
Haka ka mji kamechoka, kamepauka hakana maendeleo nilimaliza hapo mary goreti mwaka 2000 ila hadi leo mji uko vilevile. Wachaga mpunguze maneno rudini kwenu mkapaendeleze lol
Wanamaneno mengi ukiwasikiliza utazani kweli mji wao utakuwa ni bora kuliko miji yote Tanzania lakini kiukweli wana miji primitive sana na za ovyo kabisa.
 
Kwangu mimi, stendi ya kisasa iwe na sifa hizi.
1. Uwezo wa kumudu idadi kubwa ya mabasi ya mikoani kwa mara moja (Kwa stendi ya moshi hapana, upande wa kulia wameweka stendi ya coaster za Arusha, noah za Rombo na upande wa kushoto ndio rasmi kwa mabasi ya mikoani(masafa) lakini bado utakutana na coaster na Hiace za kwenda Kibosho, Mwanga. Ni fujo tupu.

2. Sehemu ya abiria pumzika kwa nafasi, uhuru na usalama. (Kwa stendi ya moshi hakuna)

3. Ofisi rasmi za makampuni ya mabasi (kwa stendi ya moshi hakuna)

4. Huduma za vyoo vya kisasa na mabafu (huduma ya vyoo ipo lakini sio vya kisasa au unadhifu)

Kuhusu Moshi kujenga stendi mpya ya kisasa (sijui maeneo ya majengo? Nami najua majengo ni maeneo ya karibu na katikati ya mji) hilo nalo ni hadithi ya miaka mingi mnoo, huenda ni jambo lisiloweza kutekelezeka, nilipofika 2010 niliambiwa hivyo, 2014 nikaambiwa hivyo, 2018 hadithi ni hiyo hiyo, November 2021 hadithi ni hiyo hiyo. Nilipochunguza nikagundua kuwa, kumbe ile stendi ya sasa ni kitega uchumi cha wajanja wa manispaa na madiwani wa CCM, wanavuta pesa nzuri kila mwezi kwa watu waliopangisha, siku stendi mpya ikijengwa tu na ulaji wao utakuwa umekwisha, na hawako tayari kwa hilo.
Stand iko mwishoni kukamilika.
 
Binafsi halmashauri ya manispaa ya Kahama ipo juu kimaendelea kuliko moshi.
1 migodi ya dhahabu + Elution
2 kiwanda cha bati
3 kiwanda kikubwa cha maji kipo njiani
4 Kahama Oil Mills, mkoani Shinyanga ambacho moja ya shughuli zake ni kutengeneza mabomba na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutekeleza miradi ya maji, sina hakika kama bado kinafanya kazi
5 n.k

Kuhusu usalama, kaskazini sio sehemu salama nchini Tanzania.

Ni heri nikaishi kanda ya ziwa, mikoa ya pwani, tanga, magharibi na ukanda wa kusini, kuliko nikaishi uchaggani 😁


Haya nitajie baadhi ya vigezo mlivyonavyo huko kijiji cha moshi
Naona unalazimisha ligi ambayo haipo, sipo hapa kuupigia debe mji wa Moshi kuwa ni bora. Mimi nimeandika baadhi facts za kawaida sana nilizoziona katika mji huo wa Moshi nilipofanikiwa kutembelea miaka tofauti tofauti, zipo facts njema na mbaya kuhusu mji wa Moshi na nimezisema. Na nikasema unapotaka kulinganisha ubora wa maeneo ni vyema ukaja na vigezo vya kulinganisha kuliko kuja na hitimisho la jumla jumla.

Lakini linapokuja suala la USAFI, USTAARABU NA USALAMA, kwa hapa Tanzania, bila kumumunya maneno, kwangu Moshi is the best. Kama uamini hilo, mtafute mtalii yoyote aliyewahi kufika Tanzania na kutembelea wastani wa miji tofauti tofauti mitano (Moshi ikiwemo) halafu utashangaa sana akikueleza hichi ninachokisema hapa. Katika mazingira ya nchi kama Tanzania ambapo miji mingi na wakazi wake hawajali usafi, hawana ustaarabu na usalama ni jambo la kubahatisha, Moshi ni sehemu bora ya kwenda kujifunzia.

Kuhusu kuilinganisha Moshi na Kahama kwa vitu ulivyovitaja, kwa watu wenye akili wanakuona wewe mshamba.

Kwa mfano wewe unajivunia Kahama kuwa ni bora kisa kuna mgodi wa dhahabu (wakati sote tunajua mji wenye machimbo ya dhahabu ni sehemu hatarishi kuishi binadamu na viumbe hai wengine kwa sababu ya uharibifu mkubwa wa mazingira), Moshi watakwambia mji wao uko chini ya mlima mrefu kuliko yote Afrika uliozungukwa na uoto wa asili wenye kumvutia kiumbe yoyote kuja kuishi.

Ukisema kahama kuna kiwanda cha maji (na sote tunajua kuzalisha maji ya kunywa kando ya machimbo ya migodi ya dhahabu sio ufahari bali ni ujinga), Moshi watakwambia wanakiwanda kikubwa na bora kabisa kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati cha kuzalisha vinywaji vya Cocacola na maji ya Kilimanjaro (kiwanda cha Bonite) chanzo chao kikiwa ni chemchem salama kutoka vijito vya mlima Kilimanjaro.
 
Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.

Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.

Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Sehemu kama marangu ni moshi vijijini lakini inaweza kuwa kama masaki
 
Back
Top Bottom