Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Moshi ndio Manispaa ya ovyo kushinda zote Afrika Mashariki

Angalia hapo alafu fananisha na kikahama chako.. Hadi Mwanza inakimbizwa kwa kuchangia kodi kubwa.. Una lingine??
View attachment 2220764
Watoto wa 2000 halafu form 4 ni shida sana
Kia unajua inaingiza pato bei gani na ipo wapi?
Holili,nalemeru tarakea kote kuna boda zipo manispaa ya moshi? Na mimi nasema manispaa ya moshi town sio mkoa wa Kilimanjaro
 
Sehemu kama marangu ni moshi vijijini lakini inaweza kuwa kama masaki

Punguza mahaba kijana,,,unaijua masaki wewe!!!
Nilishawaambia wenzangu humu, itafikia mahala atakuja mchagga mmoja hapa kuicompare moshi na dar/mwanza/Dubai,,,aise mmetisha, hata aibu hamuna 🤣
 
Mi bado nasubiria tu aniletee picha mkuu hahahaha..

Picha sio solution kijana,,,

Hebu nikuulize, ni wapi kuna mzunguko mkubwa wa pesa kati ya halmashauri ya manispaa ya kahama na moshi? Hapo mkoa wake/Shinyanga nimeuweka pending.
 
Sasa kwa akiIi yako Mkoa wa Kilimanjaro kodi kubwa hapo itapatikana wapi zaidi ya Manispaa ya Moshi??
Mbona Dar wameweka kiwilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama huko wameweka mkoa mzima jua ni mkoa wenye wilaya zake na sio Manispaa tu
 
Tuone picha please

Picha za nini?? Uliambiwa maghorofa ndio yanaleta maendeleo??

Kama unaijua vizuri kahama na moshi, ongea ukweli na acha ushabiki👉🏽kati ya halmashauri ya manispaa ya kahama na moshi wapi kuna mzunguko mkubwa wa pesa??
 
Watoto wa 2000 halafu form 4 ni shida sana
Kia unajua inaingiza pato bei gani na ipo wapi?
Holili,nalemeru tarakea kote kuna boda zipo manispaa ya moshi? Na mimi nasema manispaa ya moshi town sio mkoa wa Kilimanjaro
Mkuu ebu niambie KIA inaingiza mapati gNi kea Kilimanjaro? Holili pale panaingiza mapato gani?, Tarakea napo kuna nini?

BTW Kilimanjaro almost 70% ya mapato yanatoka Manispaa ya Moshi. Vipi unataka nayo nikuwekee hapa ili utafute kona nyingine ya kujificha??
 
Picha sio solution kijana,,,

Hebu nikuulize, ni wapi kuna mzunguko mkubwa wa pesa kati ya halmashauri ya manispaa ya kahama na moshi? Hapo mkoa wake/Shinyanga nimeuweka pending.
Unaongelea mapato ya Halmashauri ya mapato ya kikodi??

Nijibu hili kwanza
 
Mbona Dar wameweka kiwilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama huko wameweka mkoa mzima jua ni mkoa wenye wilaya zake na sio Manispaa tu
Dar hapo wameweka mikoa ya kikodi. Ina mana hata hili hulijui??

Ni kama Tarime ilivyo na Mkoa Maalumu wa Kipolisi.
 
Punguza mahaba kijana,,,unaijua masaki wewe!!!
Nilishawaambia wenzangu humu, itafikia mahala atakuja mchagga mmoja hapa kuicompare moshi na dar/mwanza/Dubai,,,aise mmetisha, hata aibu hamuna [emoji1787]
Moshi haina bahari na ile migomba inafunika majengo haupati ile view ya moja kwa moja labda ndiyo maana lakini hali ya hewa na mazingira hata majengo moshi ni kitu ingine alafu ni vijiji
 
Mbona Dar wameweka kiwilaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama huko wameweka mkoa mzima jua ni mkoa wenye wilaya zake na sio Manispaa tu

Halafu chief ee,,hiyo kahama ni halmashauri iliyo ndani ya mkoa wa Shinyanga, sasa tukizungumzia mkoa mzima na halmashauri yake na wilaya zake si watakimbia uzi!!😁
 
Moshi haina bahari na ile migomba inafunika majengo haupati ile view ya moja kwa moja labda ndiyo maana lakini hali ya hewa na mazingira hata majengo moshi ni kitu ingine alafu ni vijiji

Sikatai, Moshi ni kuzuri na hata mandhari yake pia ni nzuri, huko marangu nimetembea hadi water falls nimeenda in short ni kuzuri mkuu. Lakini sidhani kama kuna maendeleo kuizidi kahama/mkoa wa Shinyanga kwa ujumla wake.
 
Pole mkuu tulikuambia mademu wa kichaga sio watu hukusikia...najua kilichokukuta boy
 
Unaongelea mapato ya Halmashauri ya mapato ya kikodi??

Nijibu hili kwanza

Unazunguka, na wala hueleweki unachotaka
Umeongea sana kuhusu mapato,, nimekuwekea👇🏽
1. Dar es Salaam = 23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza = 10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya = 7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu = 7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro = 6,716,296 (4.8%)

6. Arusha = 6,562,356 (4.7%)

7. Tanga = 6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro = 6,298,586 (4.5%)

9. Geita = 6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma = 5,317,073 (3.8%)
 
Sikatai, Moshi ni kuzuri na hata mandhari yake pia ni nzuri, huko marangu nimetembea hadi water falls nimeenda in short ni kuzuri mkuu. Lakini sidhani kama kuna maendeleo kuizidi kahama/mkoa wa Shinyanga kwa ujumla wake.
Kwanza tafsiri ya maendeleo ni ipi
Au unadhani labda msongamano wa nyumba bila mpangilio ndiyo maendeleo

Unapoiongelea moshi unaongelea makazi bora maji safi na uhakika huduma za afya, shule barabara
Hayo maeneo unayofananisha na moshi yanakidhi hivi vigezo kiasi gani
 
hata dar wachaga wamechafua jiji poppte wanapokwenda kushi huwa ni waharibifu cha pombe hawa watu
 
Kumbe ni manispaa!!!, sio wilaya!!! Hebu fanya research vizuri kama kweli ni manispaa. Yani kimji kakipumbavu sana, hakana maendeleo, kameja walevi.

Ukiitoa GEITA ambayo ni mkoa.

Kahama na Simiyu zimeendelea,,,Moshi cjui tumlinganishe na nani? Labda Maswa au Nzega
Vita ya wachaga na wasukuma imerudi tena.
 
Back
Top Bottom