ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Kuna kitu Lissu kachelewa kukifahamu, ukiwa mgombea wa nafasi yoyote kupitia CHADEMA pale Moshi huhitaji kupiga kampeni ili ushinde.Video yaTundu Lissu akiwasili Moshi mjini usiku huu.
View attachment 1585986
Ndio maana ameshindwa kuwatuliza....laiti angetokea maamuma yeyote awazuie watu kumuona Lissu kwa kisingizio cha muda kuisha mida hii angekuwa ndani ya friji.