Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ukweliKuna wimbo unapigwa hapo ukumbini ni ujinga mtupu hata alieuweka sijui ninani !! Mfike Mahali mjitambue ... Wimbo unasema ccm inauwa watu !! Is it make sense?
Kuna uwezekano wa kupata hata asilimia 20 ya kura zote kwa namna CDM inavyoshirikiana na Dr. Samia?Kuweka ni lazima
Mbona sioni wana ccm hapoUnaonaje ccm ilivyoteka ukumbi
Unahisi hawatapata?Kuna uwezekano wa kupata hata asilimia 20 ya kura zote kwa namna CDM inavyoshirikiana na Dr. Samia?
Huo mwelekeo utakao tolewa na uchaguzi wa 2024 ni upi mkuuLini Upinzani umewahi washinda CCM?
Wakisamehewa mtakuja na hoja ya kujitetea. Tunawacheck tu..na huo ndio ukweli na hatutawasamehe kamwe labda waende uvccm kusamehewa.
Kwani unadhani kuna uchaguzi gani 2024?Huo mwelekeo utakao tolewa na uchaguzi wa 2024 ni upi mkuu
Natunza hii comment yako.Hakuna kitu kama hicho
Ndio, kwasababu sio rahisi kuishinda CCM katika mazingira ya ushirikiano.Unahisi hawatapata?
Acha kuwa overrated wewe ,wengine uwezo Wenu wa kufikiri Ni mdogo sanaSasa kama sisi ndio tulikula asali kwanini wawashwa
Siasa za matusi hazina maana, sasa ni mwendo wa hoja tu..Ndio, kwasababu sio rahisi kuishinda CCM katika mazingira ya ushirikiano.
CCM ina uzoefu na mbinu zaidi ya 1000 za kuendelea kutawala taifa hili bila kupata ushindani wa NGUVU.
Uchaguzi wa serikali za Mitaa ambao miaka yote CCM imekuwa ikiongoza kwa kushinda vijiji/mitaa mingi kuliko vyama vya upinzani kwa ujumla wao.Kwani unadhani kuna uchaguzi gani 2024?
ume piga mswaki kwelMakanjanja ni babako na mamako
Wajinga Kama mmawia hawajui hili ... Mimi sitoshangaa ikiwa TAL atazikacha hizi siasa za Akina mmawia ...Ndio, kwasababu sio rahisi kuishinda CCM katika mazingira ya ushirikiano.
CCM ina uzoefu na mbinu zaidi ya 1000 za kuendelea kutawala taifa hili bila kupata ushindani wa NGUVU.
Endelea kulilia kuna bandiko humu liliandikwa kuwa kunawatu wataishi kwa tabu baada ya babako kutokaYapi anayoyafanya ewe mpumbavu?
Hayo anayofanya yanapunguza mfumuko wa bei uliolipuka hapa nchini?
2019 uchaguzi wa tamisemi CCM walishinda kwa 99%Uchaguzi wa serikali za Mitaa ambao miaka yote CCM imekuwa ikiongoza kwa kushinda vijiji/mitaa mingi kuliko vyama vya upinzani kwa ujumla wao.
Huo mwelekeo wa 2024 unaozungumzia ni upi?
Wapiga kura wengi huwa hawafuatilii kampeni za vyama vya siasa.Siasa za matusi hazina maana, sasa ni mwendo wa hoja tu..
Unajua mkuu Kuna vitu vinashangaza Sana ,,wakati ACT inahudhuria vile vikao vya mukandala CHADEMA walishambulia Sana lkn leo wao wamegeuka kuwa wasifiaji kuliko ACT ipi ilikuwa Hoja ya Chadema kukataa ?? Hii Ni double standards.... Tutakuja kufukua hizi nyuzi...Uchaguzi wa serikali za Mitaa ambao miaka yote CCM imekuwa ikiongoza kwa kushinda vijiji/mitaa mingi kuliko vyama vya upinzani kwa ujumla wao.
Huo mwelekeo wa 2024 unaozungumzia ni upi?