shamimuodd
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,188
- 2,113
Sidhani, inawezekana kabisa Israel wanajaribu kuwaondoa kwenye msitari. Ni vigumi sana tena sana kumtuma mtu kwa njia hiyo kwa sababh kila pahala pana scanner.Lebanon is doing a better job than Iran. Iran ameuwawa hadi rais wao ndani ya nchi yao na wameufyata.
Ndio sijui.Hujui?
Ficha ujinga wako.Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Duh!! Ikawaje thereafterMajasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
Ila hawa Wazayuni wanapenda vita kama chakula!Wanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706
Ina ukubwa mara mbili ya Tanzania.Iran ni nchi kubwa kuliko Lebanon huwezi kuidhibiti yote ipasavyo unaukubwa kama Tz na ina intelligence net work nyingi kupenyeza watu wao ni rahisi sanaa
Tatizo anaurupukagaView attachment 3071728umechanganya mafaili mkuu, huyo ni afisa upelelezi wa Israel amewadaka hao waarifu, bila shaka ni Terrorist wa hezbollah wamedakwa
Kakurupuka hao ni idf wamewakamata wahalifuHawa lakini si wa Lebanon wala hawaongei kiarabu itakuwa ni fake news. Hi inaonyesha ni South America
Weirdo, FYI having a relationship with God can help provide guidance and support during difficult times in our life. When we are facing difficult challenges and seeking answers. Knowing that God is with us.You're addicted to the religious opium owing to the weird comparison you're making.
kwahiyo polisi wa lebanon anavaa sare za israel kisha anaingia lindo ? hv una akili timamu ? jeshi la Lebanon halina mgogoro na Israel bali wahuni Hizbollah waliojikita ndani ya Lebanon ndo weny shida na IsraelSuala la unoform sio issue ata wa palasitine na wa Lebonon katika oparation zao huvaa sare za israel kama camouflage, kwasbb kwassa hamna mpaka walioko wazi yote imefungwa
Huyu jamaa sijawahi kumuamini na habari zake za kuokoteza uchochoroni.Sheikh kaingizwa chaka. Anaona aibu kurudi tena
Kama kawaida yako ukishindwa hoja unajificha kwenye kichaka cha ushoga 😆Angalia shoga hili linacheka hovyo wakati mabashaa zake wamenashawa😀
Police wa bongo bora sana kuliko hao vilosa mnao wasifia 😄
Ni KILAZA FLAN AMBAYE ANADHANI YUPO SMART.SIKU ZOTE ANAOKOTA OKOTA AU ANAPEWA TAARIFA NA MASHEIKH UBWABWA ANAKIMBILIA JF KUPOST.ANAISHIA KUUMBUKA.AKIAMBIWA ANATOKWA POVU KILA SEHEMU YAKE YA MWILI YA WAZI.Huyu jamaa sijawahi kumuamini na habari zake za kuokoteza uchochoroni.
Kichwani hawana kitu dogo kaumbuka uzi anauchungulia kwa mbali.AMEINGIZWA MKENGE SASA HAWEZI HATA KUKAA. YEYE ALIDHANI ATAWADANGANYA WATU WENYE AKILI.HII VIDEO WAMEPEWA WAISAMBAZE WAKIAMBIWA HAO NI MAJASUSI WA ISRAEL WAMEKAMATWA.KUMBE NI NDUGU ZAO WENYEWE WAMEKAMATWA NA ASKARI WA ISRAEL.AIBU NMEONA MIMITukisema hawa wenzetu wa upande wa pili kua vichwa wame amua kufugia nywele na ndevu mna kuja juu angalia sasa hii ilmu ya madrassa ilivo fanya ili zee lizidi kua jinga Bogus yaan Taburlalasa kabisa
Shenzen type🚮🚮
AIBU NIMEONA MIMIWanaukumbi.
Majasusi wa Israel wa Mossad wadakwa wakijaribu kuingia
Lebanon kwenda kumuua Syed
Nasrullah kiongozi wa Hezbollah.
View attachment 3071706