Moyo wangu umepondeka mno juu ya mahusiano yangu na huyu binti

Nasemaje... Rimoyo ra mtu rimeraruriwa rikararurika πŸ˜†
A world hurts.... Wengi tuna mengi humuuu kama wanaumeee. Wanaume kazi yetu kubeba vitu vizito.. usikonde mzee! Mm nikikusimulia hapa utashangaa sana mpaka kuchagua kuwa jokeri humu jukwaani πŸ₯Ή.
Moderator ombi langu la kuongeza jina kuwa "midabwada bin kibamia" limeishia wapiiiiiii?
 
Ila mimi ningekua mwanaume sidhani kama ningekataliwa ..au basi
 
Ila mimi ningekua mwanaume sidhani kama ningekataliwa ..au basi
Amnaaa kumkataa mtu hakuchoshi hisiaa. But what next ndo shida. Na sio kumkataa tu ndo kunaumiza jamani.. wanawake wanaohitaji kutuelewa in particular. Mana hata huku kwetu uzaramoni unyago hautoshi.. makungwi ndo wanaoachika.
 
Ila mimi ningekua mwanaume sidhani kama ningekataliwa ..au basi
Kama nimeelewa vizuri logic yako, ina maana hata wewe wanaume wote wanaokutongoza hakuna unayemkatalia. Niko sahihi? PM yako iko wazi? πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…