Moyo wangu umeumia sana nilipopewa taarifa hii. Ni ipi hatima wa haya mambo?

Moyo wangu umeumia sana nilipopewa taarifa hii. Ni ipi hatima wa haya mambo?

Econometrician

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2013
Posts
16,879
Reaction score
31,253
Nimepata taarifa kuwa kuna kijana wa kipale 36 years alikuwa anafanya kazi TRA hapa Jijini Dar es Salaam, kuwa ameuawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake .

Maelezo zaidi ni kuwa Mke wake alikamatwa na kupelekwa Polisi,kisha akasindikizwa na Polisi kuja kumzika Mumewe. Ndugu, jamaa na waombolezaji wengine walipomuona walitaka kumgawana ingawa nguvu za Polisi ziliwashinda.

Baadhi ya waombolezaji wanasema Marehemu alikuwa tayari anamiliki miradi kadhaa hapa mjini.

Jamani Dada zetu na Mama zetu hasa jamii ya kichaga,kumbukeni Mali na fedha zipo na sote tutaziacha hapa Duniani.
 
Yupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007. Jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa. Akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.

Sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie. Alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
 
Yupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007.jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa..akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie..alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
Alitaka kukupasua na wewe!?
 
Yupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007.jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa..akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie..alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
Kuna wamama wamepinda,Ndoa nazo ni mateso.
 
Back
Top Bottom