Moyo wangu umeumia sana nilipopewa taarifa hii. Ni ipi hatima wa haya mambo?

Moyo wangu umeumia sana nilipopewa taarifa hii. Ni ipi hatima wa haya mambo?

Nimepata taarifa kuwa kuna kijana wa kipale 36 years alikuwa anafanya kazi TRA hapa Jijini Dar es Salaam, kuwa amuuwawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake Mchaga wa Marangu.

Maelezo zaidi ni kuwa Mke wake alikamatwa na kupelekwa Polisi,kisha akasindikizwa na Polisi kuja kumzika Mumewe.Ndugu,jamaa na waombolezaji wengine walipomuona walitaka kumugawana ingawa nguvu za Polisi ziliwashinda.

Baadhi ya waombolezaji wanasema Marehemu alikuwa tayari anamiliki miradi kadhaa hapa mjini.

Jamani Dada zetu na Mama zetu hasa jamii ya kichaga,kumbukeni Mali na fedha zipo na sote tutaziacha hapa Duniani.
Yangetokea Geita mngetoa povuu. Haya mmeona huko kwa wauaji wa kila wakati ?
 
Nimepata taarifa kuwa kuna kijana wa kipale 36 years alikuwa anafanya kazi TRA hapa Jijini Dar es Salaam, kuwa amuuwawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake Mchaga wa Marangu.

Maelezo zaidi ni kuwa Mke wake alikamatwa na kupelekwa Polisi,kisha akasindikizwa na Polisi kuja kumzika Mumewe.Ndugu,jamaa na waombolezaji wengine walipomuona walitaka kumugawana ingawa nguvu za Polisi ziliwashinda.

Baadhi ya waombolezaji wanasema Marehemu alikuwa tayari anamiliki miradi kadhaa hapa mjini.

Jamani Dada zetu na Mama zetu hasa jamii ya kichaga,kumbukeni Mali na fedha zipo na sote tutaziacha hapa Duniani.
Mkuu
Mbona taarifa haina source sabili?

Kijana hana jina?
Mke hana jina?


Japo hata picha ya marehemu au msiba
 
Sio kweli. Wahaya ni humble sana. Labda akuroge tu.
Huyo jamaa kila uzi wa kabila lolote lazima awataje alafu kwani Wahaya wana uchawi gani nchi hii, wewe tangu uwepo uliwahi sikia mfanyabiashara, msanii, mchezaji, tapeli, jambazi au mwanasiasa anaenda kwa mganga Mhaya?
Wana viuchawi mshenzi vya mia mbili hata kuumiza mtu tumbo haviwezi.
 
Back
Top Bottom