Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaHizi mila zetu Wanaume wa kiafrika za kutaka tuonekane tumeoa huku ndani ya mioyo yetu tunateseka zinatuangamiza sana.
Yangetokea Geita mngetoa povuu. Haya mmeona huko kwa wauaji wa kila wakati ?Nimepata taarifa kuwa kuna kijana wa kipale 36 years alikuwa anafanya kazi TRA hapa Jijini Dar es Salaam, kuwa amuuwawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake Mchaga wa Marangu.
Maelezo zaidi ni kuwa Mke wake alikamatwa na kupelekwa Polisi,kisha akasindikizwa na Polisi kuja kumzika Mumewe.Ndugu,jamaa na waombolezaji wengine walipomuona walitaka kumugawana ingawa nguvu za Polisi ziliwashinda.
Baadhi ya waombolezaji wanasema Marehemu alikuwa tayari anamiliki miradi kadhaa hapa mjini.
Jamani Dada zetu na Mama zetu hasa jamii ya kichaga,kumbukeni Mali na fedha zipo na sote tutaziacha hapa Duniani.
Ni kabila tu. Wachagga ndivyo walivyo kwa malikabila halina uhusiano wowote na alichofanya huyo mama.... acha kuwaza ujinga
na wewe ni mpumbavuNi kabila tu. Wachagga ndivyo walivyo kwa mali
MkuuNimepata taarifa kuwa kuna kijana wa kipale 36 years alikuwa anafanya kazi TRA hapa Jijini Dar es Salaam, kuwa amuuwawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake Mchaga wa Marangu.
Maelezo zaidi ni kuwa Mke wake alikamatwa na kupelekwa Polisi,kisha akasindikizwa na Polisi kuja kumzika Mumewe.Ndugu,jamaa na waombolezaji wengine walipomuona walitaka kumugawana ingawa nguvu za Polisi ziliwashinda.
Baadhi ya waombolezaji wanasema Marehemu alikuwa tayari anamiliki miradi kadhaa hapa mjini.
Jamani Dada zetu na Mama zetu hasa jamii ya kichaga,kumbukeni Mali na fedha zipo na sote tutaziacha hapa Duniani.
Huyo jamaa kila uzi wa kabila lolote lazima awataje alafu kwani Wahaya wana uchawi gani nchi hii, wewe tangu uwepo uliwahi sikia mfanyabiashara, msanii, mchezaji, tapeli, jambazi au mwanasiasa anaenda kwa mganga Mhaya?Sio kweli. Wahaya ni humble sana. Labda akuroge tu.
Sawa tu. Lakini ukweli mchungu ni kwamba wachagga mnaua sana kutokana na mali.na wewe ni mpumbavu
Hii taarifa ina maswali mengi, kuliko majibu.Mke aue halfu asindikizwe kuja kwa kumzika mumewe ili iweje
nimesema wapi mimi ni mchagaSawa tu. Lakini ukweli mchungu ni kwamba wachagga mnaua sana kutokana na mali.
Wameru na wachaggaKuna watu wa kabila Fulani naskia wanaweza kukuchoma kisu na Wakaja msibani kudai kisu chao.
Inakuwaga hivyooMke aue halfu asindikizwe kuja kwa kumzika mumewe ili iweje
Hii taarifa ni uzushi. Na kama ni ivyo hayo na kuzidi yaipate familia ya mzushi.Mke aue halfu asindikizwe kuja kwa kumzika mumewe ili iweje
Upo sahihi kabisa,ni ujinga kuingiza ukabila au dini kwenye tukio,kabila halina uhusiano wowote na alichofanya huyo mama.... acha kuwaza ujinga