proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
ndio hapokabila halina uhusiano wowote na alichofanya huyo mama.... acha kuwaza ujinga
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio hapokabila halina uhusiano wowote na alichofanya huyo mama.... acha kuwaza ujinga
Akae chonjo😅😅
Wanaume ni mara chache sana kuua wake zao,na ikitokea unakuta ni ugoni au amemzalia watoto wasio wake but nyie kila siku mnaua wanaume kwa sumu.Hakuna cha ajabu, waume wanaua wake zao kila siku. Vita na iendelee
Ni Mwanaume gani aliwahi kumuua Mke wake kwa sumu au kutokana na Mali ,hakuna but wanawake kila siku wanaua ili wabaki na mali.Hakuna cha ajabu, waume wanaua wake zao kila siku. Vita na iendelee
Msiba huu ulitakiwa uwe wa Kitaifa na sio wa Kikabila kama ulivowasilishwa....kijana wa kipale ..., kuwa amuuwawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake Mchaga wa Marangu.
Mimi sijaangalia kabila bali nimetoa taarifa kuwa Mwanamke huyo ni Mchaga wa Marangu na Marehemu ni Mpare.Ndugu zangu tuwe makini sana katika kujenga familia zetu, furaha ni muhimu kuliko kitu Chochote .
kwa nn tunapendana mwisho wa siku tunakuwa maadui?
Kuna kitu sio bure! Mtoa mda usiangalis kabila ni mapema mno .
Halafu agenda yao mali, utadhani watazikwa nazo.Wanaume ni mara chache sana kuua wake zao,na ikitokea unakuta ni ugoni au amemzalia watoto wasio wake but nyie kila siku mnaua wanaume kwa sumu.
SawaMimi sijaangalia kabila bali nimetoa taarifa kuwa Mwanamke huyo ni Mchaga wa Marangu na Marehemu ni Mpare.
Watu wajiandae vizuri kabla ya kuoa uchaggani.Nimepata taarifa kuwa kuna kijana wa kipale 36 years alikuwa anafanya kazi TRA hapa Jijini Dar es Salaam, kuwa amuuwawa kwa kuchomwa kisu kifuani na tumboni na Mke wake Mchaga wa Marangu.
Maelezo zaidi ni kuwa Mke wake alikamatwa na kupelekwa Polisi,kisha akasindikizwa na Polisi kuja kumzika Mumewe.Ndugu,jamaa na waombolezaji wengine walipomuona walitaka kumugawana ingawa nguvu za Polisi ziliwashinda.
Baadhi ya waombolezaji wanasema Marehemu alikuwa tayari anamiliki miradi kadhaa hapa mjini.
Jamani Dada zetu na Mama zetu hasa jamii ya kichaga,kumbukeni Mali na fedha zipo na sote tutaziacha hapa Duniani.
Utakuwa mchaga wewekabila halina uhusiano wowote na alichofanya huyo mama.... acha kuwaza ujinga
mimi ni mmasai mkuu sijui umewaza niniUtakuwa mchaga wewe
Sio kweli. Wahaya ni humble sana. Labda akuroge tu.Sio wachaga tu,hata wahaya ukiwazingua wanakutia mbavuni
Kuna watu wa kabila Fulani naskia wanaweza kukuchoma kisu na Wakaja msibani kudai kisu chao.