Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Aisee pole yake huyo kijana wa TRA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila kitu ni risk ila kuna risk zingine inabidi tuzipunguza kwa kuziepuka.Loo! Nianze kumuusia Mwanangu asije kuoa huko Uchagani. Ni mara chache sana kusikia ndoa ya mtu na mchaga ikiishia pazuri.
Kwa hiyo Mkuu ulutaka tusemaje labda?Upo sahihi kabisa,ni ujinga kuingiza ukabila au dini kwenye tukio,
Kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya.
Unamanisha ndio tabia zao au?Kumbe kuna watu mpaka leo wanaoa mabinti kutoka marangu!
Paragraph yako ya mwisho umehukumu kabila zima na kulipa ushauri,ndio maana nikasema,kila jamii ina watu wazuri na watu wabaya,Kwa hiyo Mkuu ulutaka tusemaje labda?
RIP kaka wa TRA .yaani nimepumua sio mmachame maana kusingekalika humu
Machame na wameru hao... wanakwambia nakuchoma kisu cha matakoni na kikivunjika utakilipa.Kuna watu wa kabila Fulani naskia wanaweza kukuchoma kisu na Wakaja msibani kudai kisu chao.
Yan unaona wenzio wanapasuliwa na wewe unapeleka tumboYupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007. Jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa. Akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.
Sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie. Alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
Nimeshasema sana hawasikii
Mm sijawahi kuonaLoo! Nianze kumuusia Mwanangu asije kuoa huko Uchagani. Ni mara chache sana kusikia ndoa ya mtu na mchaga ikiishia pazuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007. Jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa. Akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.
Sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie. Alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
Mchaga ni mchaga tuRIP kaka wa TRA .yaani nimepumua sio mmachame maana kusingekalika humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwann sasa??RIP kaka wa TRA .yaani nimepumua sio mmachame maana kusingekalika humu
Haswaaaaaadronedrake na team kataa ndoa wenzie ndio wanapopata point zao hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wachaga kwenye mali acha kabisa [emoji23][emoji23] kuna baba yangu mdogo yupo Mbagala kipati hapo kaoa huyo mchaga nikikumbuka nilichofanyiwa na huyo mama sina hamu few years ago