Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Te te te ndiyoooo kisu kikivunjika unalipa...Kuna watu wa kabila Fulani naskia wanaweza kukuchoma kisu na Wakaja msibani kudai kisu chao.
Unyama huu😮💨😮💨Kuna watu wa kabila Fulani naskia wanaweza kukuchoma kisu na Wakaja msibani kudai kisu chao.
Msisahau kuja na visuSubiri nikawaamshe wachagga wenzangu tuje kumtetea la mama.
Alitaka kukupasua na wewe!?Yupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007.jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa..akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie..alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
Kuna wamama wamepinda,Ndoa nazo ni mateso.Yupo mama mmoja mtoa roho hapo moshi mme wake alijirusha gorofani miaka ya 2007.jamaaa maisha ndio yalianza kuchanganya msiba umeisha haijapita wiki mama mjane akampasua beki3 na kibao cha chapati mamaee bek3 akanyookaa..akawekwa jela yule mama kama miaka 3 akatoka jela.sasa alikuwa ana frem yake kaifunga mda mrefu nikamfata kama vipi imemshinda aniachie..alinichimba biti moja na ukidume wangu nikalaza.
Hakuna cha ajabu, waume wanaua wake zao kila siku. Vita na iendeleeSubiri nikawaamshe wachagga wenzangu tuje kumtetea la mama.
@dronedrake ajeWapi kataa ndoa .?..[emoji26][emoji26]